afsa
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 1,986
- 1,592
Huko Duniani bei ya mafuta imeshuka sana. Huku kwetu bidhaa nyingi zinazidi kupanda bei kwa sababu nishati ya mafuta inayotumika katika kuzalisha na kusafirisha bidhaa iko juu.
~ EWURA wameshindwa kusimamia bidhaa ya mafuta kushuka bei?
~ Mama anaridhika na kupanda bei ya mafuta inayopandisha bei za vyakula?
~ Wafanyabiashara wanaizidi nguvu serikali?
~ Vita huko Ukraine bado ni kisingizio cha bidhaa ya mafuta kupanda bei na vyakula kupanda bei?
~ EWURA wameshindwa kusimamia bidhaa ya mafuta kushuka bei?
~ Mama anaridhika na kupanda bei ya mafuta inayopandisha bei za vyakula?
~ Wafanyabiashara wanaizidi nguvu serikali?
~ Vita huko Ukraine bado ni kisingizio cha bidhaa ya mafuta kupanda bei na vyakula kupanda bei?