Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 102,675
- 126,903
Wafanyabiashara wote wa mafuta wamejificha kwenye CCM hivyo huwezi kufanya chochoteKwa hiyo kushuka toka Us$100 hadi Us$65 haiwezi kuleta effect ya kushuka kwa bei in Tsh?
Wafanyabiashara wote wa mafuta wamejificha kwenye CCM hivyo huwezi kufanya chochoteKwa hiyo kushuka toka Us$100 hadi Us$65 haiwezi kuleta effect ya kushuka kwa bei in Tsh?
Hii nchi ni very corrupt usitegemee chochoteHuko Duniani bei ya mafuta imeshuka sana. Huku kwetu bidhaa nyingi zinazidi kupanda bei kwa sababu nishati ya mafuta inayotumika katika kuzalisha na kusafirisha bidhaa iko juu...
mzigo wa siku za nyuma walionunua kwa bei ya chini siku yakipanda bei soko la Dunia wanapandisha fasta, ila yakishuka sasa wanakwambia wanamafuta ya bei ya zamani yapo stock.Ogopa Mungu na teknolojia watasema hawajapokea mzigo mpya
Tanzania bei za bidhaa zikipanda huwa hazishuki tena hata kama wauzaji watapewa ile bidhaa bure! Bei haiwezi kushuka !! Watanzania ni watu wazuri sana huwa hawalalamiki !!Huko Duniani bei ya mafuta imeshuka sana. Huku kwetu bidhaa nyingi zinazidi kupanda bei kwa sababu nishati ya mafuta inayotumika katika kuzalisha na kusafirisha bidhaa iko juu...