wanaoharibu shillingi yetu kushuka Dhamani ni serekali yetu ilioshikilia asilimia nyingi za madeni ya Nje, 76.4% EU wakija kufanya uwekezaji huku hawatumi ela nyingi tofauti na sisi tukienda kwao unabidi ubadilishe buku3 iwe dollar 1 na kicent ila yeye akija huku anabadili dollar 1 iwe buku 3 Ni maumivu kwetu Tu