Mkuu kutoka dola150 kwa pipa hadi dola30kwa pipa na punguzo letu la sh.400 haviendani ilibidi walau sh 1000 kwa Lita.Lakini mbona mafuta yameshuka. Kutoka 2200/L hadi 1800/L.
Kingine sisi mafuta yana chelewa kufika miezi 3 baada ya manunuzi.
Sisi bado tupo 2015.