kwani hayo madawa yanalimwa hapa, au yanatolewa nje ya nchi, na wanaoleta wanajulikana na bei wanapanga na wanunuaji, yani kama mkate vile dukani, leo mia tano kesho buku,yani na wauzaji wapo tunakaa nao mitaani mwetu.so serikali kutaja bei,wanaona sawa kwasababu wawekezaji wa madawa na wenyewe wapo kwenye biashara huria.ila bei za kama ununuzi wa dowans,hazitajwi bei,ili nasisi tujue na tujitutumue tununue dowans nyingine zikiuzwa...................................:shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth: