Bei ya kwenda Marekani

Bei ya kwenda Marekani

Magody

Member
Joined
Aug 1, 2015
Posts
14
Reaction score
13
Jamani eti ni bei gani kwenda Marekani na kurudi Bongo na bei ya VISA.
 
Jamani eti ni bei gani kwenda marekani na kurudi bongo na bei ya visa

Bei ya tiketi ya ndege inategemea na Jimbo unalokwenda, shirika la ndege unalotumia, pia ni majira gani ya mwaka unayotaka kusafiri. Bei ya visa pia inategemea, visa ya utalii, ya ukazi wa kudumu, au ile ya kuingia na kutoka- na kuingia tena(Multiple Entry Visa)!. Kazi kwako Mheshimiwa.
 
Aisee, kumbe Simba anaonaga uroda kupakatwa HASA na Yanga.
 
Me naomba kujua bei ya kwenda Italy
 
Kwahiyo hata viza inategemeana unakwenda jimbo gan?au
 
Back
Top Bottom