maramojatu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 2,012
- 2,644
Hi wanaJF na wanafashion designers,
Naomba msaada wenu kwa mafundi wa suti Dar. Nataka kushona suti nzuri kabisa Kwa event ambayo nitahudhuria October 2025.
Bei take ni kiasi gani nikiwa na kitambaa. Asanteni kwa mchango wenu.
Alamsiki
Naomba msaada wenu kwa mafundi wa suti Dar. Nataka kushona suti nzuri kabisa Kwa event ambayo nitahudhuria October 2025.
Bei take ni kiasi gani nikiwa na kitambaa. Asanteni kwa mchango wenu.
Alamsiki