Darren2019
JF-Expert Member
- Nov 23, 2019
- 1,111
- 2,411
Je, kuondoka kwa huyu mzee ndio kumeshaanza kutugharimu mara hii hata jamvi hatujaanua?
Nimeamka na kamtungi kangu huku nimebeba noti mbili nyekundu nkiwaza narudi na buku 3, kufika nahamaki kuambiwa eti bei imepanda ni elfu 20 kwa elfu 52.
Nafikiri kinachofuatia sasa ni kutuondolea na zile channel za bure alizopigania JPM, Ni wakati sasa wa matajiri kuishi kama "malaika ".
R. I. P JPM.
Nimeamka na kamtungi kangu huku nimebeba noti mbili nyekundu nkiwaza narudi na buku 3, kufika nahamaki kuambiwa eti bei imepanda ni elfu 20 kwa elfu 52.
Nafikiri kinachofuatia sasa ni kutuondolea na zile channel za bure alizopigania JPM, Ni wakati sasa wa matajiri kuishi kama "malaika ".
R. I. P JPM.