Bei ya Gesi yapaa ghafla

Bei ya Gesi yapaa ghafla

Je, kuondoka kwa huyu mzee ndio kumeshaanza kutugharimu mara hii hata jamvi hatujaanua?

Nimeamka na kamtungi kangu huku nimebeba noti mbili nyekundu nkiwaza narudi na buku 3, kufika nahamaki kuambiwa eti bei imepanda ni elfu 20 kwa elfu 52.

Nafikiri kinachofuatia sasa ni kutuondolea na zile channel za bure alizopigania JPM, Ni wakati sasa wa matajiri kuishi kama "malaika ".
R. I. P JPM.
Mbona bei ya kawaida na hakuna jipya katika hilo
 
kua mpole, bei iyo ni kitambo sana, wala usilete mihemko, ndio maana nasema uko kwa shemeji
Shemeji yangu anahusiana vipi na bei ya gesi? Ko sasa nimetoka ndo nimegundua? Ebu ulizia Arusha bei ya gesi ilikuwaje, usipende kujibu tu watu ovyo kwa kuwa una katekno ka kuokota.
 
W
Je, kuondoka kwa huyu mzee ndio kumeshaanza kutugharimu mara hii hata jamvi hatujaanua?

Nimeamka na kamtungi kangu huku nimebeba noti mbili nyekundu nkiwaza narudi na buku 3, kufika nahamaki kuambiwa eti bei imepanda ni elfu 20 kwa elfu 52.

Nafikiri kinachofuatia sasa ni kutuondolea na zile channel za bure alizopigania JPM, Ni wakati sasa wa matajiri kuishi kama "malaika ".
R. I. P JPM
Sukuma gang mshaanza, wakati bei ya cement,mafuta ya kula na mengineo zikipanda mbona ye ndo alikua kakalia kiti.
 
Je, kuondoka kwa huyu mzee ndio kumeshaanza kutugharimu mara hii hata jamvi hatujaanua?

Nimeamka na kamtungi kangu huku nimebeba noti mbili nyekundu nkiwaza narudi na buku 3, kufika nahamaki kuambiwa eti bei imepanda ni elfu 20 kwa elfu 52.

Nafikiri kinachofuatia sasa ni kutuondolea na zile channel za bure alizopigania JPM, Ni wakati sasa wa matajiri kuishi kama "malaika ".
R. I. P JPM.
Huyu mzee mtamtia dhambi bure manake mnapenda sana kumpa ukuu usio wake!!! Sukari ilipanda baada ya kuwa ameshafariki?! Mafuta ya kula yalipanda baada ya kuwa ameshafariki?! Binafsi, gesi ninayotumia sasa nimenunua almost 3 weeks ago, na bado nakumbuka baada ya kutoa pesa, nikawa nasubiri change, nikaambiwa bei yake kwa sasa ni 20K!
 
Je, kuondoka kwa huyu mzee ndio kumeshaanza kutugharimu mara hii hata jamvi hatujaanua?

Nimeamka na kamtungi kangu huku nimebeba noti mbili nyekundu nkiwaza narudi na buku 3, kufika nahamaki kuambiwa eti bei imepanda ni elfu 20 kwa elfu 52.

Nafikiri kinachofuatia sasa ni kutuondolea na zile channel za bure alizopigania JPM, Ni wakati sasa wa matajiri kuishi kama "malaika ".
R. I. P JPM.
hata dar ilikua 17k saiv ni 20 najiuliza kwanini tunagesi nchini alafu tunauziwa bei kubwa kiasi hiki
 
hata dar ilikua 17k saiv ni 20 najiuliza kwanini tunagesi nchini alafu tunauziwa bei kubwa kiasi hiki
Hiyo gas si ya Mtwara ama Songo Songo mkuu ni gas kutoka nje.

Hata hivyo kwa nchi yetu ilivyo usishangae gas ya ndani ikawa ghali kuliko ya nje, kama maji nusu lita tunauziwa mia tano hiyo gas si ndio mtazimia!!
 
siyo kweli mnayosema kuwa bei ilikuwa 20k ilikuwa 16k hadi 17k kwa kale kadogo na ninadhani imepanda kwa sbb ya ile meli iliyokuwa imekwama (evergiven)

wachumi walisema kutokana na meli hiyo kukwama kwa wiki moja na siku kadhaa basi ingesebabisha bidhaa mbalimbali kupanda duniani maana kuna meli zaidi ya meli zilishindwa kupita hapo suez canal hivyo kusababisha ucheleweshwaji wa bidhaa nyingi duniani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom