Unafiki sio tusi ila ndo ukweli, mafuta yamepanda hadi elf 35 10l kwa 80 l20 husemi, gesi ambayo ni sh elf 19 unaanza kusema eti kafa juzi bei imepanda, mbona vilivyo panda akiwa hai hukusema.Siku nyingi zipi? Uko mkoa gani? Usipende tu vita na mtu ambaye hata hamfahamiani, punguza kisirani
Yaaap kisa mama kaingia usukani wanaanza eti vitu vimepanda bei, wakati sukari, mafuta, kila kitu kilikuwa juu isipokuwa hewa ya Oxygen ya kuvutaChawa saiv wanajifanya kufuta matongo tongo,eti walikuwa hawaoni wala hawaskii
😀😀
Nondo kutoka elfu 15 hadi 21 kipindi cha JPM 12mm.W
Sukuma gang mshaanza, wakati bei ya cement,mafuta ya kula na mengineo zikipanda mbona ye ndo alikua kakalia kiti.
Vitu vingi vimepanda beiJe, kuondoka kwa huyu mzee ndio kumeshaanza kutugharimu mara hii hata jamvi hatujaanua?
Nimeamka na kamtungi kangu huku nimebeba noti mbili nyekundu nkiwaza narudi na buku 3, kufika nahamaki kuambiwa eti bei imepanda ni elfu 20 kwa elfu 52.
Nafikiri kinachofuatia sasa ni kutuondolea na zile channel za bure alizopigania JPM, Ni wakati sasa wa matajiri kuishi kama "malaika ".
R. I. P JPM.
Kitambo sana hiyo bei 20 kwa mtungi mdogo, itakuwa unaishi kwa shemu kakupa 20 ukajua utapata cha juu 😀😀😀 pole.Kitambo kipi unazubgumzia maana najaza gesi kila baada ya wiki 3.
Hayo ukiyasema wewe inatosha, mimi nimesemea gesi.Mwanzo ulikuwa unahogwa....mbona sukari na mafuta husemi ilikuwa bei juu wakati wa utawala wake...
KhaaaaJe, kuondoka kwa huyu mzee ndio kumeshaanza kutugharimu mara hii hata jamvi hatujaanua?
Nimeamka na kamtungi kangu huku nimebeba noti mbili nyekundu nkiwaza narudi na buku 3, kufika nahamaki kuambiwa eti bei imepanda ni elfu 20 kwa elfu 52.
Nafikiri kinachofuatia sasa ni kutuondolea na zile channel za bure alizopigania JPM, Ni wakati sasa wa matajiri kuishi kama "malaika ".
R. I. P JPM.
Wapi huko mkuu maana nina zaidi ya miaka miwili hapa Arusha najaza Manjis ndogo elf 17, na najaza kila baada ya wiki 3 sasa sijui unachobisha ni kipi.Boss hakuna gas ya elfu 17 kwa miaka hii miwili na haijawai kutokea labda kama unauziwa na dila moja kwa moja . Mm ndio shughuli zangu za kila siku kwenye ges
Na Mie ndo bei nanunua tena Yule mama msanii hatari nikienda mwenyewe hamna chenji nikituma MTU anarudi na buku.Mkuu mbona mi kitambo nanunua kwa 20k, uko mkoa gani?
Kuna gesi za kuchemshia chai ya Baba Tu😄😄😄Bei ni 20k labda kama ulinunua 2018 unapika kwa mwez Mara 1 ndio utashangaa
Hahaha, sio POA huyo mamaNa Mie ndo bei nanunua tena Yule mama msanii hatari nikienda mwenyewe hamna chenji nikituma MTU anarudi na buku.
sisi huku tarime tunanunua 25 elf siku nyingiMkuu mbona mi kitambo nanunua kwa 20k, uko mkoa gani?
wanaume wa dar kwa ulalamishi hamjamboJe, kuondoka kwa huyu mzee ndio kumeshaanza kutugharimu mara hii hata jamvi hatujaanua?
Nimeamka na kamtungi kangu huku nimebeba noti mbili nyekundu nkiwaza narudi na buku 3, kufika nahamaki kuambiwa eti bei imepanda ni elfu 20 kwa elfu 52.
Nafikiri kinachofuatia sasa ni kutuondolea na zile channel za bure alizopigania JPM, Ni wakati sasa wa matajiri kuishi kama "malaika ".
R. I. P JPM.
Acha uongo... Kwa Gesi ya kilo 15, imekuwa ikibadilika bei toka 46,000/- hadi 52,000/- kwa kipindi chote cha huyo uliyemsema. Si kitu kipya na wala usitafute umaarufu wa mtu kwenye hili...Je, kuondoka kwa huyu mzee ndio kumeshaanza kutugharimu mara hii hata jamvi hatujaanua?
Nimeamka na kamtungi kangu huku nimebeba noti mbili nyekundu nkiwaza narudi na buku 3, kufika nahamaki kuambiwa eti bei imepanda ni elfu 20 kwa elfu 52.
Nafikiri kinachofuatia sasa ni kutuondolea na zile channel za bure alizopigania JPM, Ni wakati sasa wa matajiri kuishi kama "malaika ".
R. I. P JPM.