Tanzania kama nchi tumekosa mwelekeo
Tunasema Kilimo kwanza, tunategemea mvua, miti tunakata kwa ajili ya mkaa.....Sasa watu wapikie nini wakati uwezo wao ni kuni na mkaa!
Nishati mbadala ya kupikia ni Gesi na mafuta taa..
Sasa Mh. Mkuya, Mh. Mwigulu, Malima na Boss Wao JK, wameamua kupandisha bei za Nishati ili kupata vijisenti vya leo, wanasahau kesho
Mafuta taa yamepanda bei kuliko hata diesel
Watu wa vijijini wanaumia sana jamani
Hii bei ya mafuta taa ndo kete ya kuwaondoa CCM madarakani maana wanategemea kura za vijijini
Kwanza bei ya umeme ni juu sana, hata ukiwekewa umeme nyumbani bure, lakini bei ya unit za luku ni ghali sana....huwezi kupikia..... Mkaa lazima utumike maana gesi na mafuta taa bei juu.
Tunasema Kilimo kwanza, tunategemea mvua, miti tunakata kwa ajili ya mkaa.....Sasa watu wapikie nini wakati uwezo wao ni kuni na mkaa!
Nishati mbadala ya kupikia ni Gesi na mafuta taa..
Sasa Mh. Mkuya, Mh. Mwigulu, Malima na Boss Wao JK, wameamua kupandisha bei za Nishati ili kupata vijisenti vya leo, wanasahau kesho
Mafuta taa yamepanda bei kuliko hata diesel
Watu wa vijijini wanaumia sana jamani
Hii bei ya mafuta taa ndo kete ya kuwaondoa CCM madarakani maana wanategemea kura za vijijini
Kwanza bei ya umeme ni juu sana, hata ukiwekewa umeme nyumbani bure, lakini bei ya unit za luku ni ghali sana....huwezi kupikia..... Mkaa lazima utumike maana gesi na mafuta taa bei juu.