Bei ya chenga iko juu kuliko mpunga

MPUNGA MMOJA

JF-Expert Member
May 30, 2015
304
401
Msimu huu umekua na maajabu sana kwenye bei ya Mpunga.

Kwa masoko ya Ubaruku,Igulusi na Chimala debe moja la Chenga sh 12,000/= mpka 15,000/= huku bei ya Mpunga kwa kipimo cha debe kama hicho sh 7000/= mpaka 9000/= kutegemea na mbegu.
 
Back
Top Bottom