Bei ya camera digital

Bei ya camera digital

Habari. naomba kufahamishwa bei digital camera mega pixel 16 canon au aina nyingine bora zaidi nahitaji kwa matumizi yangu y kawaida. Thanx.
Mkuu Nina camera digital Sony megapixels 20.1 mpya kabisa, full boxed, mm ninazo mbili Njoo nikupe moja boss

e112ac62b071b0a9a23580a9639d22dc.jpg


26e9fc893bcf0cdfdf588117d590c90e.jpg
 
Digital Camera za 16 mp zina range kuanzia 380,000 hadi 2million na zaidi kutegemea na aina, zoom, ubora n.k. labda useme we bajeti yako ni shing ngapi. Mi nna Sony Cybershot 16.1m.p mpya nimeiagiza from Japan inafanya kazi vizuri sana ila nimeshindwa kubadilisha language to English. Kama utaweza kupambana nayo ntakuuzia 250,000/-
We Jamaa unapatikana wapi ?MI naweza kuinunua. Pls
 
Unataka camera ya aina gani na kwamahitaji ya aina gani
Kwa professional video na picture kuna

Canon Eos 5D mark lV
Canon Eos 5D mark lll
Canon Eos 5D mark ll
Canon Eos 7D mark ll
Canon Eos 7D
Kuna
Nikon D600
Nikon D7100
Nikon D7000
Nikon D5200
Nikon D40
Nikon D90……… .

PANASONIC LUMIX GH4
PANASONIC LUMIX GH5

SONY ALPHA 7S
SONY ALPHA 7R


Sema unataka ipi
Binafsi nahitaji camera ambayo ni hd ,nahitaji kwa ajili ya ku record kwaya, mahubili Nk, 0753487023
 
SONY original aliniachia rafiki yangu mjerumani kipindi nikiwa lushoto tanga,

Inauwezo wa ajabu kwenye kuzoom hadi umbali wa kilomita tano ipo very HD na kikibwa zaidi ina wi-fi

Ina good resolution na inarekodi vizuri naiuza 450000
 
SONY original aliniachia rafiki yangu mjerumani kipindi nikiwa lushoto tanga,

Inauwezo wa ajabu kwenye kuzoom hadi umbali wa kilomita tano ipo very HD na kikibwa zaidi ina wi-fi

Ina good resolution na inarekodi vizuri naiuza 450000
Nicheki dm naitaka
 
SONY original aliniachia rafiki yangu mjerumani kipindi nikiwa lushoto tanga,

Inauwezo wa ajabu kwenye kuzoom hadi umbali wa kilomita tano ipo very HD na kikibwa zaidi ina wi-fi

Ina good resolution na inarekodi vizuri naiuza 450000
km 5 duu! hizi zitakuwa za kule NATGEO TV.
 
SONY original aliniachia rafiki yangu mjerumani kipindi nikiwa lushoto tanga,

Inauwezo wa ajabu kwenye kuzoom hadi umbali wa kilomita tano ipo very HD na kikibwa zaidi ina wi-fi

Ina good resolution na inarekodi vizuri naiuza 450000
Ebhana bado unayo hii kitu?
 
SONY original aliniachia rafiki yangu mjerumani kipindi nikiwa lushoto tanga,

Inauwezo wa ajabu kwenye kuzoom hadi umbali wa kilomita tano ipo very HD na kikibwa zaidi ina wi-fi

Ina good resolution na inarekodi vizuri naiuza 450000
Mkuu kitu km zawadi aipendezi kukiuza
 
Na canon MP16 naitaji 500k tu naku achia camera

Exchange na simu Samsung,I phone. plus na cash kdgo fresh



Maelewano yapo
 
Back
Top Bottom