Bei vyumba vya kuishi Magomeni

Bei vyumba vya kuishi Magomeni

magomeni karibu sana na maeneo mengi..wazo zuri sema siishi huko sina namna ya kukusaidia homeboy!
 
1. Mchanganyiko ni 30 ~ 50 per rooms
2. Self 70 ~ 200 per months

Kuna uswaz bei poa, uzungun kidogo bei juu... ila raha sana ndio katika ya kata/kitaa poa sana na mwal nyerer alihishi pale.,

Chakula kipo, hospt zipo, shule kibao, police wilaya ndio hapo, msikit mkuu, kanisa makuu yapo pale, bar na hotel nyingi sanaa, tanesco wapo mkoa, dawsco wapo, unga unauzwa balah tena karib kabisa na police na ofice ya TLP, meno ya tembo yanauzwa sanaa karibu na tanesco. ..... madada poa na kaka kibaooooooooooo.... unataka nini sasa.

Unakosa nini sasa.
Duh kweli hapo ndio duniani,WAAMBI fanya uhamie rahani!
 
Frema nakushukuru sana. Nitajitahidi nipate ya fedha ya miezi.6. Makoyo mimi ni MKATOLIKI na nimeishi na Waislamu vizuri tu. Magomeni haitanishinda. Napenda mwenye nyumba asikae hapohapo.
Mimi huwa nawashangaa sana wapangaji ambao hawapendi kuishi na mwenye nyumba. Ninyi ndio wale wapangaji wenye tabia mbaya za ajabu ajabu.
 
Back
Top Bottom