Bei vyumba vya kuishi Magomeni

Bei vyumba vya kuishi Magomeni

Habari ndugu zangu,

Katika hali ya iliyoniacha mdomo wazi na ya kushangaza sana, jana nilionana na dalali aliyekuwa akinitafutia chumba cha kupanga maeneo ya magomeni mapipa tulipotaka tukacheki chumba hicho ilimbidi dalali awasiliane na mwenye nyumba kuwa amempata mteja!!!
Ghafla ktk maongezi yao;
Mweny nyumba: Hyo anaetaka chumba ni mwislam?!
Dalali: (akielkeza suali hilo kwangu), eti wewe kijana ni mwisilamu?!!
Mimi : (Nkipatwa na kigugumizi kiasi na mshangao), Hapana, mimi ni mkristo (hku mapigo yng ya moyo yakienda mbio)

Dalali 🙁akimjibu mwnye nyumba), hapana ni mkristo, akakata cmu!!!

MY TAKE: Hali hii usiiskie tuu, ikikukuta when you are in need ndo utaelewa UBAGUZI WA KIDINI ni dhambi mbaya sana!!
Shule primary hadi chuo niliishi na marafiki WA dini na makabila yote, sikuwahi kufkiria kuwa tunatofauti kiasi hiki!!
Mwisho, tofauti tulizonazo hatukuzaliwa nazo, tumezikuta duniani na tutaziacha duniani!!
Mungu hatoihukum dunia kwa misingi ya dini, elimu, kabila, rangi nk nk nk....
Chumba nitapata sehm nyingne as God wishes!!
But napinga ubaguzi
 
Mkuu ni pm sasa hivi upate chumba kisicho na udini wala nini unalipa hela yako leo unaingia leo leo. geti. umeme. maji. tiles. gypsum . hewa nzuri. utulivu. Njoo
 
kama ni kweli inasikitisha sana.....pole



Habari ndugu zangu,

Katika hali ya iliyoniacha mdomo wazi na ya kushangaza sana, jana nilionana na dalali aliyekuwa akinitafutia chumba cha kupanga maeneo ya magomeni mapipa tulipotaka tukacheki chumba hicho ilimbidi dalali awasiliane na mwenye nyumba kuwa amempata mteja!!!
Ghafla ktk maongezi yao;
Mweny nyumba: Hyo anaetaka chumba ni mwislam?!
Dalali: (akielkeza suali hilo kwangu), eti wewe kijana ni mwisilamu?!!
Mimi : (Nkipatwa na kigugumizi kiasi na mshangao), Hapana, mimi ni mkristo (hku mapigo yng ya moyo yakienda mbio)

Dalali 🙁akimjibu mwnye nyumba), hapana ni mkristo, akakata cmu!!!

MY TAKE: Hali hii usiiskie tuu, ikikukuta when you are in need ndo utaelewa UBAGUZI WA KIDINI ni dhambi mbaya sana!!
Shule primary hadi chuo niliishi na marafiki WA dini na makabila yote, sikuwahi kufkiria kuwa tunatofauti kiasi hiki!!
Mwisho, tofauti tulizonazo hatukuzaliwa nazo, tumezikuta duniani na tutaziacha duniani!!
Mungu hatoihukum dunia kwa misingi ya dini, elimu, kabila, rangi nk nk nk....
Chumba nitapata sehm nyingne as God wishes!!
But napinga ubaguzi
 
Habari ndugu zangu,

Katika hali ya iliyoniacha mdomo wazi na ya kushangaza sana, jana nilionana na dalali aliyekuwa akinitafutia chumba cha kupanga maeneo ya magomeni mapipa tulipotaka tukacheki chumba hicho ilimbidi dalali awasiliane na mwenye nyumba kuwa amempata mteja!!!
Ghafla ktk maongezi yao;
Mweny nyumba: Hyo anaetaka chumba ni mwislam?!
Dalali: (akielkeza suali hilo kwangu), eti wewe kijana ni mwisilamu?!!
Mimi : (Nkipatwa na kigugumizi kiasi na mshangao), Hapana, mimi ni mkristo (hku mapigo yng ya moyo yakienda mbio)

Dalali 🙁akimjibu mwnye nyumba), hapana ni mkristo, akakata cmu!!!

MY TAKE: Hali hii usiiskie tuu, ikikukuta when you are in need ndo utaelewa UBAGUZI WA KIDINI ni dhambi mbaya sana!!
Shule primary hadi chuo niliishi na marafiki WA dini na makabila yote, sikuwahi kufkiria kuwa tunatofauti kiasi hiki!!
Mwisho, tofauti tulizonazo hatukuzaliwa nazo, tumezikuta duniani na tutaziacha duniani!!
Mungu hatoihukum dunia kwa misingi ya dini, elimu, kabila, rangi nk nk nk....
Chumba nitapata sehm nyingne as God wishes!!
But napinga ubaguzi
Mkuu mbona me naishi magomeni lkn nyumba ninayokaa 2po wapangaji wa dini tofauti tofauti. Sijajua lengo lako la kusema kama sio muislam huwezi kupata chumba/vyumba magomeni. Kwanza napenda utambue magomeni wapo wa2 wa dini zote (sio waislam pekee). Pili, mwenye nyumba ana maamuzi ya kuweka vigezo anavyotaka mf. kwa kigezo hata cha ukabila (Maana kuna baadhi ya makabila yanatambulika kwa tabia fulani ambazo pengine yeye anaona zinamkera).
Hatukatai kama umekutana na hali hiyo ambayo mwenyewe unadai imekutokea lkn je sehem zote ulizotafutiwa na huyo dalali huko magomeni walikuwa wanataka muislam? Au umeamua tu kutaka ionekane kwamba waislam wabaguzi?
 
Beware of magomeni kagera... Naskia washirikina sana.. Utaacha Kodi.. (Rafiki yangu mmoja alihama baada ya miezi miwili)
 
Jihadhari na Magomeni. kuna mtu kamsusa mkewe kisa utamu wa mashoga anakaa mtaa wa dosi. Ogopa Magomeni kama Ilala
 
shida ya magomeni ni mashoga. Kuna siku usiku utadhani umechukua demu kumbe ni kiboga,mkienda anakwambia usiwashe taa, anavua kisha anakupa kiua!
 
kama wewe ni muislamu utapata nyumba magomeni ila kama sio sahau

Hii si kweli ila wadada single naona hawakubaliki na pia kwa mwanaume utasikia wanakuuliza wewe ni msela? maana yake huna mke? hawataki watu wa familia kupunguza ugomvi wanavyodai, hawataki watu wa jinsia moja hasa wanaume kuwa chumba kimjoja. hawazuii kuwa na rafiki wa kike ili mradi hata akija sio mkazi saana wa hapo kila siku ( hii inawafaa wapenda kubadilisha wadada kama nguo)wanasema wanawake wamechosha kwa ugomvi wao kwa wao. vyumba vipo bei ya wastani 40. self huanzia laki ila ni mchanganyiko tu humo humo na wengine. haina issue.

Ukihamia magomeni, be simple kama vile uko kambini usitake maisha ya kule uzunguni kuya-exercise magomeni utaumia na costs zisizo za lazima.
 
Mkuu mbona me naishi magomeni lkn nyumba ninayokaa 2po wapangaji wa dini tofauti tofauti. Sijajua lengo lako la kusema kama sio muislam huwezi kupata chumba/vyumba magomeni. Kwanza napenda utambue magomeni wapo wa2 wa dini zote (sio waislam pekee). Pili, mwenye nyumba ana maamuzi ya kuweka vigezo anavyotaka mf. kwa kigezo hata cha ukabila (Maana kuna baadhi ya makabila yanatambulika kwa tabia fulani ambazo pengine yeye anaona zinamkera).
Hatukatai kama umekutana na hali hiyo ambayo mwenyewe unadai imekutokea lkn je sehem zote ulizotafutiwa na huyo dalali huko magomeni walikuwa wanataka muislam? Au umeamua tu kutaka ionekane kwamba waislam wabaguzi?

MKUU, lengo si kugeneralize bali Ku site individuals ambao kwa namna 1 ama nyingne wanaendekeza ubaguzi usio kuwa na ulazima!!
Sikuhitaji lazima npate chumba kwa muislamu au mkristo bali mwnye nyumba asie bias na ubaguzi WA namna hii!!!
sikatai kuna terms & conditions wenye nyumba hujiwekea bt lazima tuwe makini sana na mengne iwe mkristo au muislam, sisi sote ni ndugu!!!
Mimi nikiwa na gari halinipi jeuri ya kutoa lift kwa kuuliza mwomba lift ati iwapo ni dini gani kwanza, mawazo mgando haya kwa taifa la wamoja!!!
 
shida ya magomeni ni mashoga. Kuna siku usiku utadhani umechukua demu kumbe ni kiboga,mkienda anakwambia usiwashe taa, anavua kisha anakupa kiua!

Mmmmh, ni kuwa smart na lyf style yko tuu!!!!
 
Mkuu ni pm sasa hivi upate chumba kisicho na udini wala nini unalipa hela yako leo unaingia leo leo. geti. umeme. maji. tiles. gypsum . hewa nzuri. utulivu. Njoo

HVO vyumba bei gani na maeneo gani?!!
Utapeli mwiko, angalizo tuu!!
 
Nimechoka na foleni za mbezi kimara. Nataka kuhama vipi bei ya vyumba vya kupanga kuishi magomeni! Hakuna foleni

Ndo umejitengnezea thread unayoitaka aisee, kazi kweli jf!!
 
Frema nakushukuru sana. Nitajitahidi nipate ya fedha ya miezi.6. Makoyo mimi ni MKATOLIKI na nimeishi na Waislamu vizuri tu. Magomeni haitanishinda. Napenda mwenye nyumba asikae hapohapo.

Hata mimi napenda kujimix na wote ikiwemo wapagani, weusi na weupe, hzi ni nature na mapokeo tuu I hope tutaviacha duniani as soon we die!!
 
Back
Top Bottom