Bei vyumba vya kuishi Magomeni

Bei vyumba vya kuishi Magomeni

Waambi

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2012
Posts
737
Reaction score
81
Nimechoka na foleni za mbezi kimara. Nataka kuhama vipi bei ya vyumba vya kupanga kuishi magomeni! Hakuna foleni
 
kuna jamaa pale airport wanatoa huduma ya chopper 150 usd per persnn kutoka huko kimara to town,whitesand to airport wanafute,kwahiyo usihame.
 
Nimechoka na foleni za mbezi kimara. Nataka kuhama vipi bei ya vyumba vya kupanga kuishi magomeni! Hakuna foleni

1. Mchanganyiko ni 30 ~ 50 per rooms
2. Self 70 ~ 200 per months

Kuna uswaz bei poa, uzungun kidogo bei juu... ila raha sana ndio katika ya kata/kitaa poa sana na mwal nyerer alihishi pale.,

Chakula kipo, hospt zipo, shule kibao, police wilaya ndio hapo, msikit mkuu, kanisa makuu yapo pale, bar na hotel nyingi sanaa, tanesco wapo mkoa, dawsco wapo, unga unauzwa balah tena karib kabisa na police na ofice ya TLP, meno ya tembo yanauzwa sanaa karibu na tanesco. ..... madada poa na kaka kibaooooooooooo.... unataka nini sasa.

Unakosa nini sasa.
 
kama wewe ni muislamu utapata nyumba magomeni ila kama sio sahau
 
Frema nakushukuru sana. Nitajitahidi nipate ya fedha ya miezi.6. Makoyo mimi ni MKATOLIKI na nimeishi na Waislamu vizuri tu. Magomeni haitanishinda. Napenda mwenye nyumba asikae hapohapo.
 
Ipo moja Makanya chumba na sebule self cntd. mwenye nyumba ni m bibi na anavuta sigara. Ila sharti lake kuu umgegede mara kwa mara nyama nyama
 
Kipo chumba na sebule bafu choo na kajistoo Magomeni Mikumi bei 150,000 nipigie 0757057285
 
Ipo moja Makanya chumba na sebule self cntd. mwenye nyumba ni m bibi na anavuta sigara. Ila sharti lake kuu umgegede mara kwa mara nyama nyama

hahhaaaaaaaa huyo bibi noma...sa kama ni mdada hakuna sharti la kumgegeda!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom