Bei halisi ya mafuta inapaswa iwe shilingi ngapi?

Bei halisi ya mafuta inapaswa iwe shilingi ngapi?

Bei ya mafuta ya petrol Nairobi 92.88 kwa litre , diesel Sh83.35 na kerosene Sh65.59 kwa litre

Mombasa Sh89.57 kwa petrol, , kwa diesel Sh80.06 na Sh62.84 kwa litre ya kerosene.

Sehemu nyingine za kenya bei haifiki Sh100 kwa litre,
ILA kwa maeneo ya Wajir, Loboi, Mandera, na Lokichogio mafuta yanauzwa kwa kati yaSh100.32 na Sh106.69 kwa litre,
weka kwa hela ya Tz tuweze kulinganisha...
 
Kufufua refinery (Tipper) ni njia moja na nzuri kama tunavyo ambiwa lakini kuna Bwana Mkubwa anaitwa EWURA ndiyo anapanga bei hata mafuta tukipewa bure na mtoaji aseme yasiuzwe hawawezi kukubali watapangia bei!! kuna kitu hatukijui kuwa kuna pesa za bure za kumnyonya mwananchi na akawa hana jinsi ya kufanya ila kunung'unika tuu.Angalia makampuni ya kuuza mafuta hapa nchini yalivyochipuka kwa wingi hivi nani wamiliki wake???!!!
Angalia vituo vya kuuza mafuta vilivyojipanga katika barabara ya kwenda Morogoro tokea kimara mpaka vigwaza jiulize vyote vinatoa huduma gani?

Hii biashara wanaidhibiti wao na hawataki kuhojiwa
 
Back
Top Bottom