Bei halisi ya mafuta inapaswa iwe shilingi ngapi?

Bei halisi ya mafuta inapaswa iwe shilingi ngapi?

Ukinunua mafuta leo toka umangani yatawekwa lini kwenye meli na kuasafirishwa mpaka Dar?
Yatafika lini Dar?
Mbona siku yakipanda nao huwa wanapandisha siku hiyo hiyo!?
Suala hapa kama ni mambo ya kiuchumi inabidi tuishi kwenye uchumi halisia na sio wa kubuni. Kushuka bei mafuta kuna athari kwenye mambo mengi lakini hatuwezi kuzizuia hizi athari kwa kulazimisha bei za zamani!
Haya mambo ya kung'ang'ania bei ziwe juu sababu ya faida ya watu fulani na hata 10%s imefikia sehemu sasa inamaliza misitu wakati ikiwepo nishati mbadala ya gesi na umeme inayopandishwa bei na hizi siasa.

 
Ewura wasije kutuletea escrow. Tunajua wafanyabiashara ya mafuta wanalobby (hata kuhonga) ili wafaidi punguzo wao badala ya wananchi. Wananchi hatujaona hadi sasa punguzo la bei ya mafuta. Lazima tuone hiyo bei ya punguzo la asilimia 50 na zaidi katika soko la dunia ama sivyo kutakua na escrow ewura.

kazi kwelikweli.
 
Kama ''refinery plant'' ikifufuliwa (TIPER )au ijengwe nyingine mpya.
1.Bei itashuka
2.Ajira
3.Result to strengthen the economic growth ''iwapo siasa na deal hazitaingilia'' .:wacko:
 
waifufue Tanzania and Italy Petrolium Refinery(TIPER) kwanza nimemsikia zitto amesema tanzania bado tuna share ya 50%,pili bei ya mafuta inatakiwa iuzwe kati ya 1500 hadi 1600 na diesel punguza 200 kwenye petrol.
 
Mbona siku yakipanda nao huwa wanapandisha siku hiyo hiyo!?
Suala hapa kama ni mambo ya kiuchumi inabidi tuishi kwenye uchumi halisia na sio wa kubuni. Kushuka bei mafuta kuna athari kwenye mambo mengi lakini hatuwezi kuzizuia hizi athari kwa kulazimisha bei za zamani!
Haya mambo ya kung'ang'ania bei ziwe juu sababu ya faida ya watu fulani na hata 10%s imefikia sehemu sasa inamaliza misitu wakati ikiwepo nishati mbadala ya gesi na umeme inayopandishwa bei na hizi siasa.


hapo umenena mkuu.
 
watanzania upole wetu unatuponza, kuna watu wanapata super profit mnapoona hawa waarabu wanajenga magorofa ya mabilion mjin kati msidhan ni ivi ivi tu ndio mambo kama haya!!! hawa watu wanapata super profit tunawechekea tu, je na hili mpaka kafulila aibue upya bungen au ukawa ndio lifanyiwe kazi au?
 
Kama ''refinery plant'' ikifufuliwa (TIPER )au ijengwe nyingine mpya.
1.Bei itashuka
2.Ajira
3.Result to strengthen the economic growth ''iwapo siasa na deal hazitaingilia'' .:wacko:

siasa imeathiri sana uchumi wa nchi kwasbbu wanasiasa ndyo wafanya biashara wakubwa. Hivyo usijidanganye kuwa hawataiingilia tiper kama ikirudishwa na pengne kufa kwake chanzo n wafanyabiashara wanasiasa.
 
watanzania upole wetu unatuponza, kuna watu wanapata super profit mnapoona hawa waarabu wanajenga magorofa ya mabilion mjin kati msidhan ni ivi ivi tu ndio mambo kama haya!!! hawa watu wanapata super profit tunawechekea tu, je na hili mpaka kafulila aibue upya bungen au ukawa ndio lifanyiwe kazi au?

Siyo upole mkuu, n ujinga, uwoga na ubinafsi vinatusumbua.
 
Mambo kama haya yanatufanya tumkumbe mzee Mkapa sana kwasbbu aliweza kuwadhibit wafanyabiashara na kupunguza mfumko wa bei tofauti sana na huyu mzee wa safari.
 
TatIzo pia Sisi wenyEwe wenYe maGari hAtuonYeshi uMoja kAtika hiLi.
WAtaNzania tUmezOea kulAlaMika tu pAle mafUta yanapokuWa bei jUu. KUnaHitAji la kuoNyeSha natioNal demoNstrations peNgine iTasaidia ila NajuA ni WabOngo waChache waNaweza kUgoma kuJaza mafUta kweNye Gari zao.

utagoma peke yako.
 
Mambo kama haya yanatufanya tumkumbe mzee Mkapa sana kwasbbu aliweza kuwadhibit wafanyabiashara na kupunguza mfumko wa bei tofauti sana na huyu mzee wa safari.

na bado mtamkumbuka sana mzee wa watu.
 
Kama ''refinery plant'' ikifufuliwa (TIPER )au ijengwe nyingine mpya.
1.Bei itashuka
2.Ajira
3.Result to strengthen the economic growth ''iwapo siasa na deal hazitaingilia'' .:wacko:

hakuna kitu,unakumbuka mkongo WA taifa walisema bei itashuka ya internet lakini wapi
 
Tatizo watz wengi wamelogwa na njano na kijan. jembe na nyundo
 
Back
Top Bottom