Bei halisi ya mafuta inapaswa iwe shilingi ngapi?

Bei halisi ya mafuta inapaswa iwe shilingi ngapi?

Kwa Tanzania mambo yetu yako so complex hivyo ni ngumu kujibu swali lako.
Ingelikuwa kwenye jamii za watu walio huru kimwili na kifikra bei ingelikokotolewa kama ifuatavyo:
Bei ya pipa ilipokuwa US $ 100 = Petrol iliuzwa Sh. 2,250/-
Bei ya pipa imekuwa US $ 50 = Petrol iuzwe Sh 1,125/-.
unaweza kukokotoa hivi hivi kwa diesel, mafuta ya taa nk.

Lakini hapa watakwambia kuwa projection za bajeti zilibase kwenye makusanyo ya makato ya sh. 2,250/- hivyo hatuwezi kushusha bei kienyeji bila kuangalia athari za bajeti na uchumi. Pia wanaweza kukwambia huu mzigo uliopo ulikuja kwa bei za zamani! Lakini hao hao watakaokwambia hivyo siku pipa moja likifikia us $ 200 kesho yake petrol stations zote zitauza mafuta Ts. 4.500/-.

Ndio maana wengine wanasema tuishi kwa slogan ya 'let a spade be called a spade' ili tuone consequences zake.
 
Bado majibu yako hayakidhi haja, kwanini basi yasishuke hata angalau 30% ? inawezekena production cost zikawa hazijashuka, lakini transportation cost zimeshuka.

kwann isishuke hata kwa 40% au 30% angalau?

Mkisoma mada ya mwandishi, angependa bei ya sasa iwe nusu ya bei ya awali kutokana na mafuta ghafi kushuka kwa 50%. Huo ndo msingi wa hoja niliyoitoa kuwa haiwezi kushuka kwa uwiano sawa kutokana na baadhi ya gharama kubaki kama zilivyokua. Sijazungumzia uhalali wa EWURA kushusha kwa kiwango walichoshusha.
 
kwani hizi gharama hazikuwepo kabla? anyway tunaelekea uchaguz so kuna gharama za kampeni
 
Mkisoma mada ya mwandishi, angependa bei ya sasa iwe nusu ya bei ya awali kutokana na mafuta ghafi kushuka kwa 50%. Huo ndo msingi wa hoja niliyoitoa kuwa haiwezi kushuka kwa uwiano sawa kutokana na baadhi ya gharama kubaki kama zilivyokua. Sijazumzia uhalali wa EWURA kushusha kwa kiwango walichoshusha.
Hii source yake ni the citizen.
Ukiangalia hapa gharama karibia zote zinapigwa kwa percentages. Na hiyo CIF ambayo ni Sh 1,022.04 ndio msingi mkuu wa mahesabu na yaliyoshuka ni mafuta ghafi, hivyo tukiongeza processing costs ni kweli haiwezi kuwa nusu ya bei lakini pia haipaswi kuwa kubwa kama sh. 1,955!
oney.jpg
 
kuna yule bwana aliyestaafu haruna masebu alikua makin sana, alikua anakula na hawa wafanya biashara sambamba kabisa, yeye na yule msaidiz wake aliyekua anapiga hesabu bei za mafuta lakin kilichotokea wote tunakijua
1. haruna masebu kastaafu kaachiwa aende wameteua mtu wao maana sehem kibao watu wanaongezwa mkataba wakistaafu yy wakaona anakaza wamakuacha.
2. yule msaidiz wake baada ya kukomaa wakamuua gesti kule buza

waliobaki ndio hawa ndio mzee njaa kali wanatangaza bei mpya za mafuta mpaka watu wakipiga kelele wakat ilitakiwa iwe kwa mujib wa wajibu wao na si kila wiki kama haruna masebu alivyokua anafanya!!!

huu ni muendelezo wa kutowaongeza mikataba viongoz waadilifu kama CAG ludovick utoah ni kwa sababu anakaza wamemtoa!!!
 
Wandugu habari zenu? Hivi karibu mamlaka ya udhibiti wa bei za nishati ilitangaza kushuka kwa bei ya mafuta nchini kufuatia kushuka kwa bei ya pipa moja kutoka dola 100 mpaka 50 katika soko la dunia. Kama mafuta yameshuka kwa 50% katika soko la dunia, kwanini hawa EWURA wameshusha mafuta hata 20% haifiki.

Je kuna uwiano hapo? Hebu tusaidiane kwanini bei halisi isiwe nusu ya bei ya awali? Tuacheni kulala tudai haki zetu. Mafuta yakishuka hata gharama za maisha zita shuka.

Ndugu Chuma2 hukusikia mheshimiwa fulani alisema EWURA wanaogopa kushusha sana kwa sababu pesa inayoingia kama tozo kwa lita pia itashuka na kuwakosesha 'umatemate'? tafakari......
 
Last edited by a moderator:
Ndugu Chuma2 hukusikia mheshimiwa fulani alisema EWURA wanaogopa kushusha sana kwa sababu pesa inayoingia kama tozo kwa lita pia itashuka na kuwakosesha 'umatemate'? tafakari......

sikuwah kumsikia huyu ndgu.
 
Last edited by a moderator:
kuna yule bwana aliyestaafu haruna masebu alikua makin sana, alikua anakula na hawa wafanya biashara sambamba kabisa, yeye na yule msaidiz wake aliyekua anapiga hesabu bei za mafuta lakin kilichotokea wote tunakijua
1. haruna masebu kastaafu kaachiwa aende wameteua mtu wao maana sehem kibao watu wanaongezwa mkataba wakistaafu yy wakaona anakaza wamakuacha.
2. yule msaidiz wake baada ya kukomaa wakamuua gesti kule buza

waliobaki ndio hawa ndio mzee njaa kali wanatangaza bei mpya za mafuta mpaka watu wakipiga kelele wakat ilitakiwa iwe kwa mujib wa wajibu wao na si kila wiki kama haruna masebu alivyokua anafanya!!!

huu ni muendelezo wa kutowaongeza mikataba viongoz waadilifu kama CAG ludovick utoah ni kwa sababu anakaza wamemtoa!!!

nikweli ndgu
 
kuna yule bwana aliyestaafu haruna masebu alikua makin sana, alikua anakula na hawa wafanya biashara sambamba kabisa, yeye na yule msaidiz wake aliyekua anapiga hesabu bei za mafuta lakin kilichotokea wote tunakijua
1. haruna masebu kastaafu kaachiwa aende wameteua mtu wao maana sehem kibao watu wanaongezwa mkataba wakistaafu yy wakaona anakaza wamakuacha.
2. yule msaidiz wake baada ya kukomaa wakamuua gesti kule buza

waliobaki ndio hawa ndio mzee njaa kali wanatangaza bei mpya za mafuta mpaka watu wakipiga kelele wakat ilitakiwa iwe kwa mujib wa wajibu wao na si kila wiki kama haruna masebu alivyokua anafanya!!!

huu ni muendelezo wa kutowaongeza mikataba viongoz waadilifu kama CAG ludovick utoah ni kwa sababu anakaza wamemtoa!!!

nikweli ndgu
 
Ewura wasije kutuletea escrow. Tunajua wafanyabiashara ya mafuta wanalobby (hata kuhonga) ili wafaidi punguzo wao badala ya wananchi. Wananchi hatujaona hadi sasa punguzo la bei ya mafuta. Lazima tuone hiyo bei ya punguzo la asilimia 50 na zaidi katika soko la dunia ama sivyo kutakua na escrow ewura.
 
Ewura wasije kutuletea escrow. Tunajua wafanyabiashara ya mafuta wanalobby (hata kuhonga) ili wafaidi punguzo wao badala ya wananchi. Wananchi hatujaona hadi sasa punguzo la bei ya mafuta. Lazima tuone hiyo bei ya punguzo la asilimia 50 na zaidi katika soko la dunia ama sivyo kutakua na escrow ewura.

sijui kama itawezekana
 
Mkisoma mada ya mwandishi, angependa bei ya sasa iwe nusu ya bei ya awali kutokana na mafuta ghafi kushuka kwa 50%. Huo ndo msingi wa hoja niliyoitoa kuwa haiwezi kushuka kwa uwiano sawa kutokana na baadhi ya gharama kubaki kama zilivyokua. Sijazumzia uhalali wa EWURA kushusha kwa kiwango walichoshusha.

ni kweli vitu vingine vimebaki constant,ewura wamekokotoa bei hovyo sana bei ilitakiwa kushuka kwa 30%,mafuta yalitakiwa kuuzwa kwa shilling 1,400/=petrol na diesel 1,250/= :
 
HUKO UK BP imetangaza kuwapunguza kazi wafanyakazi wake 200 sababu bei ya mafuta ghafi imeshuka mpaka $48 na bei haitegemewi kupanda kwa miaka miwili ijayo

Schlumberger kampuni kubwa inayojihusisha na utoaji huduma katika visima vya uchimbaji mafuta inakusudia kupunguza wafanyakazi 9000 kutokana na kushuka kwa bei mafuta.

Chanzo Sky News
 
Wandugu habari zenu? Hivi karibu mamlaka ya udhibiti wa bei za nishati ilitangaza kushuka kwa bei ya mafuta nchini kufuatia kushuka kwa bei ya pipa moja kutoka dola 100 mpaka 50 katika soko la dunia. Kama mafuta yameshuka kwa 50% katika soko la dunia, kwanini hawa EWURA wameshusha mafuta hata 20% haifiki.

Je kuna uwiano hapo? Hebu tusaidiane kwanini bei halisi isiwe nusu ya bei ya awali? Tuacheni kulala tudai haki zetu. Mafuta yakishuka hata gharama za maisha zita shuka.
Ukinunua mafuta leo toka umangani yatawekwa lini kwenye meli na kuasafirishwa mpaka Dar?
Yatafika lini Dar?
 
Ukinunua mafuta leo toka umangani yatawekwa lini kwenye meli na kuasafirishwa mpaka Dar?
Yatafika lini Dar?
mafuta yameanza kushuka toka mwaka juzi 2013 ambapo yalikuwa yanagonga kwa pipa 120$

na mwaka jana 2014 yakaendelea kushuka zaidi na zaidi, graph hii ni bei ya mafuta hadi mwezi November mwaka jana 2014 yalikuwa 66$,

na sasa january 2015 bei ya mafuta kwa piapa ni 48$, sasa unaposema hadi wayasafirishe unafikiri bei imeshuka jana ghafla?



cp-crude-oil-price.png
 
mafuta yameshuka bei kwa zaidi ya 50% lakini ewura wameshusha bei kwa 3% tu, kweli vituko havitakaa viishe nchi hii ya Tanzania, wanasiasa nao wa kutusemea kwa hili wamekaa kimya! Wapi John MNYIKA?

ewura walipaswa kushusha bei kwa asilimia 30% hadi 40%, ambapo ingetoka toka TSH 2200 to TSH 2000 kwenda TSH 1400 to TSH 1200.
 
Mnajua eennhh haya mafuta yananunuliwa kwa us dollars sasa tatizo hii hela yetu ya MADAFU inapanda na kushuka thamani eennnhhh ...... Hizo ndiyo sababu watakazo tuambia wanasiasa hakuna haja ya kuwaita humu sisi tuendeleze mjadala waone ukweli wachukue wakapige kelele hukooo... we should fight for ourselves,few will support us.
 
Back
Top Bottom