OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,525
Nyani Ngabu wote wanaonekana wana tatizo kisaikolojia...km marafiki wako hivi je marehemu alikuwaje??kwanza wakazike kwanza waanue tanga ndo waje kutukana mitandaoni. Watu mmefiwa busy mko mitandaoni kutukana...haihuusu.
Mzima unapokomaa na wenye matatizo ya kisaikolojia ndio mzani unagoma kubalansi hapo!!!!!
Last edited by a moderator: