Wewe fala ni lini umewahi kulipia JF? Na ni lini umewahi kulipia google search engene? Matako kabisa wewe.Mkuu upo serious kweli kusema google na jf wanatoa huduma bure??
Hakuna cha bure kaka dunia hii we huulizi pango la ofisi zao,wafanyakazi nk pesa za kuwalipa wanatoa wapi??
Hatuwezi kukosa mkuu!KUANZIA WIKI IJAYO NITAANZA KUWEKA MAKALA MPYA AMBAYO TUMESHAIANZA HUKO WHATSAPP, INAITWA "THE KING MAKERS"..!! Usikose..
Mkuu Juma,hatutaki kuijua ID yako,kule tunajumuika bila kujali huyu ni nani JF.shukrani mkuu ze bold....kwa kuongezea chumba cha ufahamu ktk jengo la ubongo wng wa ufahamu wa mambo ya kidunia...
"we 'r waitin the king master"
hujawahi kuniangush broh...
natamani sana kuja huko whtsapp....lakini nina minyororo na ID yng.... hav a nyc day mkuu....
basi sawa.....Mkuu Juma,hatutaki kuijua ID yako,kule tunajumuika bila kujali huyu ni nani JF.
Unless uwe na sababu zako nyingine ila kuhusu ID hakuna mwenye kutaka kuijua.
Elfu 5basi sawa.....
ada bei gani..???
Pamoja..Thanks
Pamoja sana Mkuu..Heshima kwako sana mkuu the Bold, kiu imesawazika.
Pamoja sana
Shukrani sana Mkuu..Umetendea haki maandishi yako!!
Umetendea haki utafutaji WA habari na uchambuaji!.
Nadhani kuna haja ya kutengeneza documentarie za matukio tata kama izo!
Am waiting for king maker !.
Shukrani..Asante sana
Tutayajadili.. Ngoja nipumzike kidogo!kaka vipi yale maswali ambayo watu walikua wanauliza ukawa unapromise kua mwisho wa makala utakua unayajibu????
Chek me on WhatsApp nikupe namba ya voda!!Weka namba ya voda nitume hiyo pesa mm nimechoka kusubiri huku kwa muda mrefu
Amen Mkuu! Nitakutag..Mkuu, asante sana,... Toka Geronimo E. K. I. A na sasa Behind the curtain hujatuangusha. Ukianza the King Makers, nitag Mkuu. Ubarikiwe.