Karibu.. Nicheki 0718 096 811Naweza unganishwa kwenye whatsapp group?
Maswala ya hati milikiHIZI VIDEO ZOTE WAMEZIBLOCK KWANI ZINAWAUMBUA VIBAYA SANA
Tatizo mtakua mnasoma bure na kumsifia wakati yeye haingizi chochote mwendo huu huu wa wasap unalipia ndo upate vigongo na yeye kakaa zake kwake anaingiza pesa hayo mambo ya kina milad kupgwa jua ndio upate pesa hatutaki..
Cc: The bold.
Mkuu..
CIA wanakutafuta soon!
Blog ikipata watembeleaji wengi unapata matangazo na masponsor pia kipata kitaongezeka kadri unavyofanya kazi na kuwavutia watu
Telecom Technology ipo juu kule kwao mkuu! Kama hawana Translator wanatumia Machines kama zile za kutranslate kwenye Conference Halls...Yan jamaa angezidi kuizungusha zungusha ndege hadi target point alaf dwaaaaaaa puuuuuuuuuuuuuufff (CIA wahajui kiswahili)
Sasa hivi hata wewe husumbuki! Google translator ipo google..Yan jamaa angezidi kuizungusha zungusha ndege hadi target point alaf dwaaaaaaa puuuuuuuuuuuuuufff (CIA wahajui kiswahili)
Wewe ni mpuuzi kabisa google ingekuwa na watu wenye akili mavi kama hii yako hata The Bold asingeweza kupata hizi simulizi.Tatizo mtakua mnasoma bure na kumsifia wakati yeye haingizi chochote mwendo huu huu wa wasap unalipia ndo upate vigongo na yeye kakaa zake kwake anaingiza pesa hayo mambo ya kina milad kupgwa jua ndio upate pesa hatutaki..
Cc: The bold.
Bonge la story aisee, hio kitu ikitokea nikiwa bado mdogo sana, sekondary
Wewe ni mpuuzi kabisa google ingekuwa na watu wenye akili mavi kama hii yako hata The Bold asingeweza kupata hizi simulizi.
Hii si dalili njema kwa mvulana kujipendekeza kwa mwanaume.Haaaaaa hili povu la petrol kwan vp tuliza mpapa we mtoto uliekulia kwa mjomba mimi hua natumia grisi sijui uko tayari..... the bold karizika na pesa zake za wasap hatak mbwembwe za nyie walala sebuleni mbona bado mnakula kwa shemeji na hamkuja na idea za stor kama za "the bold"
Hii si dalili njema kwa mvulana kujipendekeza kwa mwanaume.
Hiyo ni nafasi ya Nifah, sasa mvulana unapomgombea mwanaume ulimwengu wote unapigwa na butwaa.
Kuna watu wenye akili waliumiza akili zao na wakaja na google search engene na inatowa huduma bure.
Hata hapa JF unapokatika viuno kama unasasambuwa kwenye kibao kata Max na Mike wanatowa huduma hii bure. Fala wewe.
Sasa hivi hata wewe husumbuki! Google translator ipo google..
Sasa si mpaka upate hao wazamin wakat yeye sasa hv anajilia ela kiulaini kwnye grup la wasap pasipo tumia nguv nying ya kubembeleza masponsor na blah blah kibao yeye kutumia wasap sio fala yote haya mnayosema alijua toka mwanzo so kwake wasap ndo the best
katusua 5000 imekaaaa vizuri kila week 1000 na 250
Anacheka na nyavu za Nifah kiulaini sasa hiv hapat tabu kudadadek