Nadhani huyu Gwajima ni tapeli la kimataifa na inawezekana ana biashara nyingine haramu anafanya kwa mgongo wa kanisa. Lazima kuna kitu polisi wamemshtukia ndio sababu wanajaribu kumhoji na lazima tu ukweli utajulikana.
Usifikiri kila anayejiita nabii au mtume aliyetumwa na Bwana kama mtumishi wak na mwenye waumini wengi ni kweli ana nia ya kuhubiri neno la bwana na kuchunga kondoo wake. Wengine na matapeli, majambazi, Malaya na mafisadi wakubwa ktk nchi hii. Inabidi Polisi kuwa nao makini sina kufuatilia mienendo yao na vianzo vyao ya mapato maana sio sadaka tu inayowaingiza fedha nyingi hivyo kwa mara moja.