Unajitahidi sana kutaka kuwajua watu kwenye mtandao unaoficha watu kwa ID fake.una undugu na October man ?
Mkuu jifunze kuandika kwa ufasaha basiUnajitahidi sana kutaka kuwajua watu kwenye mtandao unaoficha watu kwa ID fake.
Je October man unamjua ni nani ??
Unajua yeye ana ID ngapi unaweza zijua??
Utamjua akikujia PM na ID yake ya ya nne.
Usipende kiwajua watu kiundani kwenye jukwaa kama hili utakuja kupata matatizo rahisi sana mtu kukuingiza kwenye 18 akakufanyia ukatiri nje ya jukwaa.
Naona jitihada zako muda tu Umomi, October nani then iwe nini unakesi mahakamani.Mkuu jifunze kuandika kwa ufasaha basi
Afu mbona povu tena wakati nimekuuliza swali dogo tu
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Mkuu punguza munkari usije ukajinyonga hii ni jf tuNaona jitihada zako muda tu Umomi, October nani then iwe nini unakesi mahakamani.