Before you marry

Before you marry

Ndoa hazinaga straight formular, mambo yanabadilika kutokana mtu na mtu

Aaaah mkuu mengine ni kufurahisha tu,ila mapenzi yana namna tofauti kwa kila mtu unayekutana naye
 
Kwenye dunia yetu ya Tanzania ambayo hatuna kwenda kula hotelini ni bahati na tulizoea kula kwenye mkeka wetu kwa mikono... utaonea wengi

Mkuu Tanzania mbona wapo tu wanaokula kwa uma na kisu
 
hahahaha namba 1 imenichekesha je kama kwa hiyo tuwe tunategea lol kazi ipo afu namba 4na 5 kwa mtu aliefundishwa nidhamu ya kula tangu utotoni hivyo vitu kwake hawezi fanya

Mbele ya msosi wa ukweli kuna kusahau hizo kanuni za nidhamu ya kula
 
....wanajamii kama kuna mtu mwenye dikshonari karibu aniazime
na mimi nitoe maoni yangu kwenye huu Uzi...
Twafadharini jamani...
 
....wanajamii kama kuna mtu mwenye dikshonari karibu aniazime
na mimi nitoe maoni yangu kwenye huu Uzi...
Twafadharini jamani...

Mkuu mbona hiyo lugha chepesi sana iliyotumika
 
what if she is hungry, na amemiss meat pengine 6 months wewe ndio umempa nyama siku hiyo??




Before you MARRY a lady, invite her
for dinner, eat together & watch out for the
following:-
1. If she starts eating the meat before you it
implies that, she will plan for your salary/income
before you collect it.

2. If she wants to share the meat equally, she
won't be obedient to you, she will always question
your authority.

3. If she asks for juice and water, I am sorry for
you, she is used to hotel quickies! Put her on
voice-mail.

4. If she has a bigger spoon than u, it means u
can't win any argument with her at all and she
may end up beating you one day!

5. If her mouth makes noise while eating, it
means she can't keep secrets.
 
Back
Top Bottom