Bedroom ya Harmonize matusi matupu halafu baadaye walalamikie BASATA

Architect E.M

JF-Expert Member
Nov 15, 2010
1,211
1,363
Nimeisikiliza hii nyimbo ya Harmonize na watu kibaoo matusi matupu yamejaa ni aibu hata kusikiliza na mtoto au mtu mnaeheshimiana.

Kwanini wasanii siku hizi wanaimba matusi namna hii? Wakifungiwa wanalalamikia BASATA lakini makosa ni yao wenyewe.
Mfano yani Rosaree anataja neno FUCKEN... kweli? Its not our culture.

Rai yangu, wasanii imbeni nyimbo zenye ujumbe kama zamani. Sio kila siku matusi tuu

Link ya wimbo
 
Nimeisikiliza hii nyimbo ya harmonize na watu kibaoo matusi matupu yamejaa.. aibu hata kusikiliza na mtoto au mtu mnaeheshimiana... kwanini wasanii siku hizi wanaimba matusi namna hii..
Umepewa angalizo/ Tahadhari kuhusu huu wimbo.
Je malalamiko ni ya nini hasa??

Wimbo umetoka wiki tatu zilizopita, na wamefuata taratibu zote walizo wekewa kufuata kabla ya kuachia wimbo.
Tatizo liko kwako, sio kwa wimbo husika.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…