Architect E.M
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 1,211
- 1,363
Jinga sana.. mnaoutetea huu wimbo hamuwezi kua wazazi. Mtakua vijana mabishoo bishoo mnaoishi kwa mashemeji.. .. imagine mwanao ndo anaimba hivyo???
Swali la kizushi ila majibu ndo hayatoshi, hivi kati ya nyie wachaga na sigara yupi anatoka moshi?Njoo nkupake wese..inesenese..//
Nizame ndani na ruñgu comrade kipepepepee..//
Umepewa angalizo/ Tahadhari kuhusu huu wimbo.Nimeisikiliza hii nyimbo ya harmonize na watu kibaoo matusi matupu yamejaa.. aibu hata kusikiliza na mtoto au mtu mnaeheshimiana... kwanini wasanii siku hizi wanaimba matusi namna hii..