Architect E.M
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 1,211
- 1,358
Nimeisikiliza hii nyimbo ya Harmonize na watu kibaoo matusi matupu yamejaa ni aibu hata kusikiliza na mtoto au mtu mnaeheshimiana.
Kwanini wasanii siku hizi wanaimba matusi namna hii? Wakifungiwa wanalalamikia BASATA lakini makosa ni yao wenyewe.
Mfano yani Rosaree anataja neno FUCKEN... kweli? Its not our culture.
Rai yangu, wasanii imbeni nyimbo zenye ujumbe kama zamani. Sio kila siku matusi tuu
Link ya wimbo
Kwanini wasanii siku hizi wanaimba matusi namna hii? Wakifungiwa wanalalamikia BASATA lakini makosa ni yao wenyewe.
Mfano yani Rosaree anataja neno FUCKEN... kweli? Its not our culture.
Rai yangu, wasanii imbeni nyimbo zenye ujumbe kama zamani. Sio kila siku matusi tuu
Link ya wimbo