Beatrice Shelukindo apokea vitisho

Unaongea ni upuuzi mtupu.Maslahi ya wananchi ni supreme.Yes amewalipua!
 
Unaongea ni upuuzi mtupu.Maslahi ya wananchi ni supreme.Yes amewalipua!
unaweza kweli ukawa ni upuuzi lakini ni vyema kufata jinsi katiba inavyosema kama kila mtu anaweza kutengua katiba kwa maslahi ya wananchi then hamna haja ya existance ya hiyo katiba.
 
Hakuna siri ya kuiibia serikali. Hivyo nyaraka zinazozuhusu kuiibia/kufanya ufisadi si nyaraka za serikali bali za mafisadi waliopo serikalini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…