..so now he is a born again christian! huyu hana sifa ya utu achilia mbali uongozi, hafai huyu hata kdg, watu wanamuona km kiongozi makini kwa kuangalia zile issue ambazo alizisimamia zikamature, lakini ukweli ni kwamba alikuwa anasimamia issue ambazo ana maslahi nazo, ni mtu wa deal ile mbaya. Dont get twisted, Lowassa ni hatari zaidi ya hatari!kwa nini asingeenda tu loliondo kwa babu akapata kikombe .. lakini lowasa ukiacha ile kashfa ya ufisadi lowasa ni mtu makini katika uongozi....
that place is awesome my wife was there last sunday, wadau nawaambieni ile ni arena of liberty hakuna kinachoshindikana pale kwa jina la YESU, tayari nna testimony kibao za kushea. wife alikuwa na vidonda vya tumbo vinamkamata mpaka anapanda dirishani low pressure, ile kukanyaga tu pale hakusikia chochote mpaka wali wa ki nigeria wenye pilipili
kibao alikuwa anakula sasa hivi hakuna cha low pressure wala ulcers kwishney. glory be to lord JESUS
Mi bado sijaelewa kwa nini hasa huyu jamaa yuko very affirnity na huu uraisi wetu!!!mi mpaka ananitia wasiwasi na kwa kweli wala hata akigombea sitampa maana ameshaonyesha mapema siyo mtu mzuri huyu!!anataka kutuonyesha kuwa yeye ni innocent kwa kutumia mgongo wa makanisa lakini watu wa dizaini kama yeye siyo kabisa ni kama nyoka!!
that place is awesome my wife was there last sunday, wadau nawaambieni ile ni arena of liberty hakuna kinachoshindikana pale kwa jina la YESU, tayari nna testimony kibao za kushea. wife alikuwa na vidonda vya tumbo vinamkamata mpaka anapanda dirishani low pressure, ile kukanyaga tu pale hakusikia chochote mpaka wali wa ki nigeria wenye pilipili kibao alikuwa anakula sasa hivi hakuna cha low pressure wala ulcers kwishney. glory be to lord JESUS