Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,377
kwa wale wenye access na emmanuel tv, chekini mh LOWASSA yupo live anapata neno la mungu kwa prophet TB JOSHUA.
NigeriaHiyo ya wapi wadau
kweli bwana.........au hawaamini wachunga kondoo wa hapa?Atautafuta sana urais but hatapata.Makanisa kibao Tanzania anafuata nguvu gani huko?
Neno ni lile lile, Yesu ni yuleyule. TB Joshua ataomba kwa jina la Yesu kama ilivyo kwa Mwl. Mwakasege, Askofu Malasusa etc. Pasipo imani utamaliza makanisa na watumishi bila mafanikio.kweli bwana.........au hawaamini wachunga kondoo wa hapa?
Ebu nieleweshe, dhambi ya Lowasa ni ipi?, naona umetumwa na Sita+Mwakyembe+ ki*****te.Ni kweli hata mimi nimemuona. Tena mwanangu mdogo ndio alikuwa anaangalia ghafla kaniita "baba njoo umuone Lowasa yuko emmanuel tv. Yuko Nigeria" nilidhani utani lakini baada ya muda na mie nikamuona.Naona kenda kupata baraka na kuombewa ili atubu dhambi za ufisadi na kuombewa ili asifukuzwe ccm.Wacha apate neno la uzima uenda akabadilika rohoni na nafsini pia. Natamani kumuona na Kikwete anakwenda kule maana ni mtambo wa tiba ya rohoni!TB Joshua tafadhali tusaidie watanzania. Muongoze sala ya toba jamaa yetu huyo.
Ebu nieleweshe, dhambi ya Lowasa ni ipi?, naona umetumwa na Sita+Mwakyembe+ ki*****te.
Ingawa sijamuona lakini hii ni haki yake ya kikatiba na sidhani kama kuna jambo la ajabukwa wale wenye access na emmanuel tv, chekini mh LOWASSA yupo live anapata neno la mungu kwa prophet TB JOSHUA.