Beach zote uchafu umezidi

Beach zote uchafu umezidi

HIMARS

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2012
Posts
72,935
Reaction score
102,690
Habari wadau, kuna beach ambayo iko kuanzia Kawe hadi Jangwani, maeneo hayo ni machafu sana, je Halmashauri husika hazioni ni wakati wafanye usafi?

Kama wameshindwa kwanini wasizibinafsishe ili ziwe safi?

Au kwanini ile Service Levy wasiwekeze kiasi kwenye usafi wa hizi Beach haswa nyakati za weekend na sikukuu?
 
Back
Top Bottom