Habari wanajamiiforums,
Naomba msaada wenu kwa watakaoweza kunisaidia, nina kamkutano fulani hivi cha kama watu 7 hivi sasa nataka nikafanyie kwenye beach hotel mojawapo ya hapa dar. Nina max bajeti ya TZS 25,000 kwa ajili ya chakula na soda/maji/juice kwa mtu mmoja. Vyakula namaanisha vyakula tu vya kawaida mfano chips kuku, chips samaki, chips mishikaki. Naomba mwenye kujua beach hotel nzuri anijuze!
Natanguliza shukrani za dhati kwa watakaonisaidia!
Infomania
Naomba msaada wenu kwa watakaoweza kunisaidia, nina kamkutano fulani hivi cha kama watu 7 hivi sasa nataka nikafanyie kwenye beach hotel mojawapo ya hapa dar. Nina max bajeti ya TZS 25,000 kwa ajili ya chakula na soda/maji/juice kwa mtu mmoja. Vyakula namaanisha vyakula tu vya kawaida mfano chips kuku, chips samaki, chips mishikaki. Naomba mwenye kujua beach hotel nzuri anijuze!
Natanguliza shukrani za dhati kwa watakaonisaidia!
Infomania