Kama unataka to have fun, all alone with your wife, njoo beach iliyo karibu na kijijini kwetu, inaitwa Boza Beach, hakuna hoteli hapo, hakuna watu kupita pita hovyo, hakuna majumba karibu, its safe, quite and secluded for now. Carry your picnic gear. Uta enjoy sana.
Its around 65KM from Dar.
Ni moja katika beach nzuri sana Tanzania.
South beach kigamboni
South beach kigamboni
Nipeleke sipajui
Nieleweshe vizur, sijakuelewa kwann sio kuzur?
Nipeleke sipajui
Wahaya Nouma kweli,............
Roho inauma eeh!?
navy beach kwa wajeda..ng'onda beach.mikadi beach na chadibwa zote zipo kigamboninoooo...kama kipato chako kinaruhusu nenda sun rise.kijiji beach..kipepeo..n.k....