shushushu VIP
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 4,806
- 4,303
Nouma sanaa
Ahahahaha dah nimekumbuka Mwalimu wetu mmoja wa hesabu alikua haachi kipindi, siku moja matokeo ya Mock yakaja vibaya sana kwenye hesabu, basi watu walipoulizwa sababu wakasema mwalimu anaingia sana darasani apunguze.Hahaha
PoaMkuu uwe una vichukua na kutuletea jamvini uku
Hahaha hahaha hahaha jamani hurumieni mbafu sangu. ..Ahahahaha dah nimekumbuka Mwalimu wetu mmoja wa hesabu alikua haachi kipindi, siku moja matokeo ya Mock yakaja vibaya sana kwenye hesabu, basi watu walipoulizwa sababu wakasema mwalimu anaingia sana darasani apunguze.