SHOOyaKIBABE
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 2,182
- 1,717
...wamepokea taarifa za mapinduzi toka kwa mabeki tatu dhidi ya waume za watu,so wameona bora lawama kuliko fedhea...
Exactly, naskia kuna baadhi ya wake za watu wanalalamika mabeki tatu wao kuwa kama Maya, mume akirudi tu utaskia "sir chief! sir chief!", mara awekewe chai hata kama hajaomba, majanga tu.. Star Tv wameimuvuzisha