Be careful with my heart

Be careful with my heart

Leomimi

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2013
Posts
2,547
Reaction score
874
Idd mubarak jamani Star tv kulikoni na hii tamdhilia kumetokea nini mbona haionyeshwi tena mwenye taharifa atujuze
 
Yani mie wamenikera hawajui tu.Ila atleast wananipoza na when your mine
 
Ndo tabia ya star tv tamthilia ikinoga tu nawakajua wengi wanafatilia basi wanaweza kukatisha hata mwezi hawatendi haki kwa viewers halafu bila taarifu mie wamenikata stimu kweli
 
Startv wapuuzi sana wangetoa taarifa tu sasa wanakaa kimyaaa na wameianzisha imefika kati. Wanakera kuliko maelezo.
 
Itakuwa waliilipia mpunga nusu nusu wakapewa few episodes. Sasa itakuwa wamekosa hela ya kununua episodes zinazofuata. Kama vipi jichangeni muwaboost wakailipie.
 
Idd mubarak jamani Star tv kulikoni na hii tamdhilia kumetokea nini mbona haionyeshwi tena mwenye taharifa atujuze

Wananiboa kama nini bora Itv walikuwa wanajitahidi enzi hizo wakianza kuonyesha ni mwanzo mwisho lakini hawa star tv hamna kitu mbwembwe nyiiingi jamani Itv kama mpo huku wakati ndio huu itumieni nafasi vizuri turudishieni zile enzi zetu za kina lorenzo .
 
Hawaionyeshi halafu hawajatoa taarifa kwa nini wameacha kuionyesha.

Ina maana wametudharau watu kila ikifika j4 wanatuacha macho juujuu kama vicheche nyambafu kabisa.
 
Yani mie wamenikera hawajui tu.Ila atleast wananipoza na when your mine

Hahahaaaa kumbe tupo wengi tunaolia na moyo kibaya zaidi hawaombi radhi watuwekea ma dw yao hata sielewi bora wangetuwekea mov kali kupoteza maboya halafu utakuta ni libange moja tu limekalia cd likitaka maslahi.
 
Idd mubarak jamani Star tv kulikoni na hii tamdhilia kumetokea nini mbona haionyeshwi tena mwenye taharifa atujuze

inarushwa kwenye kisimbuzi chao kila cku saa tatu usiku chanel 103 i think...
 
Itakuwa waliilipia mpunga nusu nusu wakapewa few episodes. Sasa itakuwa wamekosa hela ya kununua episodes zinazofuata. Kama vipi jichangeni muwaboost wakailipie.

inarushwa kwenye kisimbuzi chao
kila cku saa tatu usiku chanel 103 i
think...
 
Idd mubarak jamani Star tv kulikoni na hii tamdhilia kumetokea nini mbona haionyeshwi tena mwenye taharifa atujuze
wamentibua hata mimi sijui wakoje
yaani tamthilia zao zote ziko hvo zikifik karibu na mwisho wanakatisha
 
Idd mubarak jamani Star tv kulikoni na hii tamdhilia kumetokea nini mbona haionyeshwi tena mwenye taharifa atujuze
Ina nini cha kuitamani hivyo? Tujuze nasi tuchunguliage.
 
ngoja nionyeshe msisitizo kidogo,mwenye taarifa atujuze
 
...wamepokea taarifa za mapinduzi toka kwa mabeki tatu dhidi ya waume za watu,so wameona bora lawama kuliko fedhea...
 
Ina maana wametudharau watu kila ikifika j4 wanatuacha macho juujuu kama vicheche nyambafu kabisa.

Nilikuwa nilisha acha kufuatilia hizi tamthilia kwa muda. Ilivyoanza hiyo nika'renew' sasa wamenikatisha tamaa, tena ndo ilikuwa imekolea hasa; afadhali ningeendelea kutofuatilia kabisa.
 
Back
Top Bottom