papaa musofe
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 842
- 1,475
BBC TV ni mabingwa wa kutoa habari za siasa kuhusu Kenya, si Tanzania
Matukio makubwa hutokea Tanzania lakini hawa akina Salim Kikeke huwa hawahangaiki kuzirusha
Je hawa ni mapandikizi wa serikali na CCM huko BBC?
Kazi kubwa wanayofanya ni kutafsiri habari za kingereza kuja kwenye kiswahili
Je hawa wana maelekezo maalum kutoka serikali ya Tanzania kuhusu habari hasa za wapinzani?
Matukio makubwa hutokea Tanzania lakini hawa akina Salim Kikeke huwa hawahangaiki kuzirusha
Je hawa ni mapandikizi wa serikali na CCM huko BBC?
Kazi kubwa wanayofanya ni kutafsiri habari za kingereza kuja kwenye kiswahili
Je hawa wana maelekezo maalum kutoka serikali ya Tanzania kuhusu habari hasa za wapinzani?