BBC Swahili Tumewachoka!

BBC Swahili Tumewachoka!

K-Boko

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2013
Posts
697
Reaction score
218
Yaani kila mifano ya ovyo ni Tanzania tu? Katika News report yao usiku huu wanatoa mifano ya sarafu zilizoporomoka na haraka wamekimbilia kutoa mfano wa shilingi ya Tanzania. Ni nini ninyi?

Tumewachoka sana kutudhalilisha kila siku! Kila jambo jema mnakimbilia Kenya. Mnatuudhi sana sana msione tumenyamaza!
 
Yaani kila mifano ya ovyo ni Tanzania tu? Katika News report yao usiku huu wanatoa mifano ya sarafu zilizoporomoka na haraka wamekimbilia kutoa mfano wa shilingi ya Tanzania. Ni nini ninyi? Tumewachoka sana kutudhalilisha kila siku! Kila jambo jema mnakimbilia Kenya. Mnatuudhi sana sana msione tumenyamaza!!!

wameanza china, wakaja south africa, then nigeria
 
Washenzi hawa wakenya,bbc swahili wameifanya kijiwe,na kupendelea kenya,wakati mie naona wasikilizaji wengi wapo Tanzania,na baadhi ya watanzania waliopo bbc ni kama mananga,hawana uzalendo,yaani wakenya wasiojua hata kiswahili ndo wanawaburuza kwa kupendelea habari za kenya,kweli mkuu wanakera sana.
 
Yaani kila mifano ya ovyo ni Tanzania tu? Katika News report yao usiku huu wanatoa mifano ya sarafu zilizoporomoka na haraka wamekimbilia kutoa mfano wa shilingi ya Tanzania. Ni nini ninyi? Tumewachoka sana kutudhalilisha kila siku! Kila jambo jema mnakimbilia Kenya. Mnatuudhi sana sana msione tumenyamaza!!!

Kwani si kweli mkuu? Haya yote ni kuwakumbatia MACCM na nakuhakikishia Watanzania wakikabidhi nchi hii tena kwa CCM 2020 tutatumia dola badala ya shilingi..
 
Yaani kila mifano ya ovyo ni Tanzania tu? Katika News report yao usiku huu wanatoa mifano ya sarafu zilizoporomoka na haraka wamekimbilia kutoa mfano wa shilingi ya Tanzania. Ni nini ninyi? Tumewachoka sana kutudhalilisha kila siku! Kila jambo jema mnakimbilia Kenya. Mnatuudhi sana sana msione tumenyamaza!!!

mkuu ukweli huwa unauma, na hii imetokana na serikali 'sikivu' ya CCM
 
Washenzi hawa wakenya,bbc swahili wameifanya kijiwe,na kupendelea kenya,wakati mie naona wasikilizaji wengi wapo Tanzania,na baadhi ya watanzania waliopo bbc ni kama mananga,hawana uzalendo,yaani wakenya wasiojua hata kiswahili ndo wanawaburuza kwa kupendelea habari za kenya,kweli mkuu wanakera sana.

Hii ni myth ' Wakenya wasiojua Kiswahili' Yaani nyie Kiswahili chenu cha gali, nzuli, mshahala, kula (kura) ndiyo Kiswahili? Kenya hutoa kila mwaka wanafunzi 4000 waliohitimu BA ya Kiswahili. Nyie blabla blaaaaa
 
Tanzania nn kizur kushinda kenya zaid ya aman na upumbavu na ulofa tuu.
 
Tanzania nn kizur kushinda kenya zaid ya aman na upumbavu na ulofa tuu.
we aman unaiona si tunu nenda somalia ukaishi mogadishu uone. watu wanatamani hii amani we unaleta upumbavu wenu hapa. museveni anaexist kwa kuwaletea waganda amani tu na wameridhika sembuse sisi tunafany uchaguz wa demokrasia
 
"wananiudhi sana hawa wapumbavu malofa wanaohama chama'" ccm hoyeeeeee
 
Hii ni myth ' Wakenya wasiojua Kiswahili' Yaani nyie Kiswahili chenu cha gali, nzuli, mshahala, kula (kura) ndiyo Kiswahili? Kenya hutoa kila mwaka wanafunzi 4000 waliohitimu BA ya Kiswahili. Nyie blabla blaaaaa
kuhitimu kwa wingi ndo kujua kiswahili sanifu? watu wangapi wanaojifunza kiswahili kutoka ng'ambo wanakuja kenya kujifunza hapo? njooni bongo mjifunze kiswahili sanifu sio mtu kasoma ba kiswa anaongea msamiati km mtoto wa miaka miwili bongo
 
Back
Top Bottom