Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,060
- 24,452
Kwa wafuatiliaji wa Bbc swahili dira ya dunia, kupitia matangazo yanayorushwa saa tatu usiku kuanzia jumatatu hadi ijumaa kupitia Star tv watakubaliana nami kuwa urushaji wa taarifa umekosa mvuto!
Tokea Charles Hilary aondoke, huku akifuata Zuhura Yunus na hatimae Salim Kikeke, Mariam Omary pamoja na Saluma Kassim utangazaji wa taarifa zake hauna mvuto kabisa!
Watangazaji wanaotangaza hivi sasa hawavutii kuwasikiliza na hata taarifa zinazotangazwa mara nyingi ni kutoka Kenya, na hata kwenye mijadala mara nyingi wakenya ndio wanakuwa wanashirikishwa zaidi, tofauti na hapo awali ambapo kulikuwa na balance!
Hivi sasa BBC haina tofauti na KBC ama Citizen Tv za Kenya!
Tokea Charles Hilary aondoke, huku akifuata Zuhura Yunus na hatimae Salim Kikeke, Mariam Omary pamoja na Saluma Kassim utangazaji wa taarifa zake hauna mvuto kabisa!
Watangazaji wanaotangaza hivi sasa hawavutii kuwasikiliza na hata taarifa zinazotangazwa mara nyingi ni kutoka Kenya, na hata kwenye mijadala mara nyingi wakenya ndio wanakuwa wanashirikishwa zaidi, tofauti na hapo awali ambapo kulikuwa na balance!
Hivi sasa BBC haina tofauti na KBC ama Citizen Tv za Kenya!