Ndio ivyo Kenya wabov kwenye kupangiliaWapo baadhi nawaelewa Ila sasa hawatangazi kila siku wale sijui part time
✍️
Head of BBC Swahili kwa sasa ni anatokea KENYA sio Tanzania kwa hio wamehamishia huko anaitwa Rachel Akidi Okwir, Head of East Africa Languages, is based in Nairobi, Kenya
![]()
Watanzania ndio walitake over na kuna yule mama aliekua head of BBC Swahili amestaff mwaka huu baada ya kufanya kazi BBC kitengo hicho kwa miaka 24Ndio ivyo Kenya wabov kwenye kupangilia
Hapo sijaelewa Ila kuna mabadiriko anapoingia boss mpya si unajua anaweza akahamisha vitu vyote vya mtangulizi wake akapeleka store akaleta vitu vipyaHilo nalielewa!
Kabla haijahamia Kenya,ikiwa London hakukuwa na bias, ama tuseme ipo Policy mpya kwamba kwa kuwa huyo head ni mkenya awe selective kwa habari za mataifa mengine ama pande zingine za dunia?
Ndio hivyo wakenya sijui wanapiga part time siwaelewiKuna mkenya anaitwa Waziri Khamsini, alikuwa vizuri pia. Ila kapotea hivi karibuni.
Naona kakamata ushukan wa KenyaWatanzania ndio walitake over na kuna yule mama aliekua head of BBC Swahili amestaff mwaka huu baada ya kufanya kazi BBC kitengo hicho kwa miaka 24
✍️
Esther Kahumbi, yupo vizuri. Naye kapotea kama Waziri Khamsini.Labda kwako. Unamfahamu ester kahumbi ?
Ndio hivyo itakua Ila yule mama hakua mtanzaniaNaona kakamata ushukan wa Kenya
Sio kwamba bbc radio ndio bongo alfu bbc tv ndio kenyaHead of BBC Swahili kwa sasa ni anatokea KENYA sio Tanzania kwa hio wamehamishia huko anaitwa Rachel Akidi Okwir, Head of East Africa Languages, is based in Nairobi, Kenya
![]()
Kwa wafuatiliaji wa Bbc swahili dira ya dunia, kupitia matangazo yanayorushwa saa tatu usiku kuanzia jumatatu hadi ijumaa kupitia Star tv watakubaliana nami kuwa urushaji wa taarifa umekosa mvuto!
Tokea Charles Hilary aondoke, huku akifuata Zuhura Yunus na hatimae Salim Kikeke, Mariam Omary pamoja na Saluma Kassim utangazaji wa taarifa zake hauna mvuto kabisa!
Watangazaji wanaotangaza hivi sasa hawavutii kuwasikiliza na hata taarifa zinazotangazwa mara nyingi ni kutoka Kenya, na hata kwenye mijadala mara nyingi wakenya ndio wanakuwa wanashirikishwa zaidi, tofauti na hapo awali ambapo kulikuwa na balance!
Hivi sasa BBC haina tofauti na KBC ama Citizen Tv za Kenya!
Aisee Mkuu Hawa Miamba Ni kiboko na Sauti zao za kipekeeAlex Mureith na Chama Omary Matata walikuwa wanatisha sana kwenye usimulizi wa habari.
Sent using Jamii Forums mobile app
NAKAZIA !Kwa wafuatiliaji wa Bbc swahili dira ya dunia, kupitia matangazo yanayorushwa saa tatu usiku kuanzia jumatatu hadi ijumaa kupitia Star tv watakubaliana nami kuwa urushaji wa taarifa umekosa mvuto!
Tokea Charles Hilary aondoke, huku akifuata Zuhura Yunus na hatimae Salim Kikeke, Mariam Omary pamoja na Saluma Kassim utangazaji wa taarifa zake hauna mvuto kabisa!
Watangazaji wanaotangaza hivi sasa hawavutii kuwasikiliza na hata taarifa zinazotangazwa mara nyingi ni kutoka Kenya, na hata kwenye mijadala mara nyingi wakenya ndio wanakuwa wanashirikishwa zaidi, tofauti na hapo awali ambapo kulikuwa na balance!
Hivi sasa BBC haina tofauti na KBC ama Citizen Tv za Kenya!
Sa hivi kabaki Elizaberth kazibure,Alex Mureith na Chama Omary Matata walikuwa wanatisha sana kwenye usimulizi wa habari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sishangai kule Arusha nilichoka baada ya kukuta mwalimu wa kiswahili international schoool moja ni anatokea kenya.Head of BBC Swahili kwa sasa ni anatokea KENYA sio Tanzania kwa hio wamehamishia huko anaitwa Rachel Akidi Okwir, Head of East Africa Languages, is based in Nairobi, Kenya
![]()