BBC: Jumuia ya Afrika Mashariki mashakani, Marais wa Kenya, Uganda na Rwanda waunda umoja wao!

Tukisema MAGAMBA vimeo hamsikii ... ngoja tuendelee kuaibika!!


Ninadhani ni sahihi kabisa kwa hawa jamaa kuanzisha mishemishe zao za kusaka ma hela,kwani SISI WATANZANIA tunawaletea kauzibe sana...
Watanzania AS WHOLE tuko too inquisitive,too precatious,too spared,too warryful,too non risk takers,na KUBWA zaidi hatuko AGRESSIVE katika kujifunza ni faida gani tunaweza tupate "OUT" of the EAC....ndio maana SISI WATANZANIA hatutaki VIONGOZI WETU wawe POSITIVE kuhusu Muungano wa EAC.....Sasa tunataka hawea majirani zetu watubembelezeje?

Nimekwenda Uganda mwaka jana...pia nilikuwa Kenya

Ukiwasikiliza Waganda,wao wanasema kwamba "The EAC Active phase lags behind bse of the "cold war" btn Kenya anda Tanzania
Ukiwasikiliza Wakenya,wao wanasema "The EAC Active phase lags behind bse of Tanzanians being "too negative" about Kenyans....
Ukiwasikiliza Wanyarwanda,Waburundi wao wanasema "In Tanzania there are lot of "missed opportunities" where one can make a lot of money!

Nani Mtanzania hapa mawazoni mwake "anawachukulia" poa Wakenya?
Makelele yetu wenyewe ndio yanayofanya hawa jamaa waone sie "tunawachelewesha"....

All in all...hili ndilo tulilolitaka....Watanzania tumejawa na Roho ya Chuki now a days....Roho ya wivu.....Roho ya kulalamika....Roho ya sijui aina gani...

Hebu fikiria Obama anakuja Nchini,lakini karibu asilimia kubwa ya Watanzania "wamejawa" na matamko,maongezi na kauli za "WIVU,ULALAMISHI,na CHUKI"......Hivi mnadhani siku ile Balzi wa Marekani alipojibu kwamba "Marekani ina resources nyingi sana na si kwamba wanakuja huku kwa ajili ya Natural resources zenu" alitoa hilo jibu ghafla?ni kwamba hilo jibu tayari alikuwa nalo hata kabla,tokana na kusoma "malalamishi" yenu toka sources mbalimbali....

Hata hawa jamaa KKK wamekuwa wakijua "misimamo" ya Watanzania,ndio maana wanaona "wawaache" na ma "wivu" yenu.....Halafu mnaanza kujifanya hamuelewi sababu ni kwa nini wanaweza "kuwatupa" kule!...

Na bado.....kama hatutabadilika,watatuacha.....na kile mnachokitafuta wengi wenu mtakipata
 
Jaribu kuangalia whats common between those three.

1. Tribalism.
2. ICC-prone.
3. Hated by the West, not really accepted by the East.
4. Mombasa port.
5. AFCOM (
As a source of forex, and a way of brown nosing the US just to pacify their people's outcry).

Baada ya hapo, unaweza labda kujua kwanini wamemside track JK.


1,2 sina hakika na hizo ila kweli hizo tatu za mwisho zinaweza kuwa common interests kwa hawa jamaa. Swala la M23 linaweza kuwaunganisha pia hawa watu. But also this is not healthy for our country tungekuwa na inteligensia ya nchi (na sio ya CCM kama ilivyo sasa) hii ilikuwa ni assignment muhimu kwao. Wamejadili nini na lengo la kikao hicho hasa ilikuwa ni nini?
 
Jamani Rais kikwete hana shida tatizo niwatendaji wake na kuhusu kwenda kwenye kikao jamani tambueni kuwa Rais naye anapangiwa ratiba huwa hajiendei tu kama ww unavyotoka nyumbani kwako ok na anaongozwa na sheria pia kuna gharama kulingana huwa haendi peke yake.


Tuondolee upumbavu wenu,kupiga picha pale Bernabau uwanja wa real Madrid.kupiga picha na Beckham,50 cent,Naomi na kubembea kwenye mabembea nani anampangia?? Kwa gharama za pesa ya kuna nani?? Kwa faida ipi kwa nchi?? Idi.it!!!!
 
As long as you show me the facts.
Tanzania is comparatively stable and peaceful, that is known.

Also, the potential that she holds as the next energy giant sitting on a very strategic point, geographically and militarily, attracts the world's major players.

Tanzania can fight for Palestine openly,support Assad, support Iran, Zimbabwe and have brotherly relations with China, reject AFRICOM and still have respect from US, Japan and the rest of the Western block.

Those three durangatans can kiss all the a$$ in the western block, and still looked down as the puppets of western bible belt lobbysts.(you are mad because CDM is falling on the same category) and nothing else.

No one in the International community listen to those pinheads anymore.

Nakubaliana na wewe mkuu,Watanzani hawajui hadhi iliyokuwa nayo Tanzania,kuungana na nchi maskini na nchi zenye makabila ni kuiweka Tanzania pabaya,kama umoja basi tufanye umoja na Congo,angola na South Africa
 
Kikwete amegundulika kuwa ni msaliti wa kimataifa,
kila rais wa africa mwenye uchungu na rasilimali za afrika anamuepuka kikwete kama ukoma.
Raisi kituko wa kwanza tanzania.
 
Jamani Rais kikwete hana shida tatizo niwatendaji wake na kuhusu kwenda kwenye kikao jamani tambueni kuwa Rais naye anapangiwa ratiba huwa hajiendei tu kama ww unavyotoka nyumbani kwako ok na anaongozwa na sheria pia kuna gharama kulingana huwa haendi peke yake.

Kwani gharama ndo zimeanza kuonekana leo?
 
Unasahau What's COMMON of JAKAYA KIKWETE are all what you Mension na anafanya kibias... Pro-ISLAM angalia hamkemei NAPE NNAUYE anapoongelea CHADEMA ni CHAMA cha WACHAGGA; Kama NYERERE angesikia hivyo toka kwa KIONGOZI wake NAPE NNAUYE na VIMADA wake Wangekuwa Mashambani wanalima KATANI

Umesahau yeye ndio Mwanzilishi wa UBAGUZI NCHINI KWETU hadi sasa hatuelewani... Sasa Unadhani na kujikosha kuwa MOI; MUSEVENI na KAGAME ndio wabaya -- CHUNGA angalia unakotoka na unakokwenda... MDOMO MCHUNGU zaidi ya pilipili...

Achana na AFCOM ongelea ya Maana UDINI UKABILA ndio TATIZO
Unaongelea upuuzi usio na maana yeyote kwa sababu umepumbazwa na mahaba kwa watu ambao nao hawana la maana pia.

Tunaongelea pseudo-coalition ambayo inajitahidi ku-counter SADC. Hao jamaa walishawahi kukorofishana kuhusu bandari ya Lamu kwa kuishirikisha Juba na Ethiopia na kuiacha Uganda. Akaja kuomba bandari ya Tanga kwa kumhofia Raila. Sasa, wameambiwa wazungumze na negative forces, wamekasirika na wanataka kutuonyesha kuwa hatuna umuhimu.

Ndiyo maana nikasema, Tanzania ishajijua kuwa ni nchi muhimu duniani compared to those three. I know that.
Mkutano huo ni sawa na ukigombana na mamaa home, anaanza kuongea na mashosti wake kwenye simu kwa masaa matatu just to piss you off.

Hakuna cha maana kitakachoendelea hapo.
 
kagame museven na uhuru wote wamelowa damu mbele ya umoja wa mataifa,
kagame na Museven ni wabinya demokrasia katika nchi zao
kagame na Museven wananuka damu za kuuwa wapinzani wao
wote wana uchu wa madaraka.
Uhuru tunajua ni tajiri mkubwa ambae utajiri wake unatia mashaka.
kwa JK hana tatizo zaidi ya kuwakumbatia mafisadi na walipua mabomu, tatizo ni watendaji wake
Jk ametilia mkazo ardhi yetu isiingizwe kwenye umoja huo.
Jk ana mrengo tofauti na hao wawili.
Sidhani kama tunafaidika na huo umoja hata wakimtenga sisi bado tutasimama
 
Hivi kwani watanganyika na nyie si mnao muungano wenu na zanzbr?ni miaka karibu 50 sasa mbona wao hawajalalamika kuwa hawajaitwa kwenye muungano wa tanganyika na zanzbr?
 
Mipumbavu inaleta uchadema na uchaga kwenye mambo ya kitaifa mnakera sana

"To know the enemy is half the victory"
 
tulisema lakini....huwezi ukajidai unarekebisha kwa wenzako....wakati kwako watoto wadogo wanauliwa kwa mabomu...unachekelea.....kuna watu hawwapendi watu wanafki...
 
Kwa mawazo kama haya hatuwezi kufika we unadhani Marekani wana Rafiki? Fuatilia urafiki wao na Osama,Sadam Hussein,Gadafi,Mubarak,Mobutu na wengineo uliishia wapi, Marekani wanakutumia wakimaliza wanakutema usifikiri Obama haendi Kenya kisa hawapendi hataki tu kuwaibia walichonacho,Marekani wanakimbizana na spidi ya China kuwekeza Afrika kwahyo sio fahari sana mkuu.

That's where u're wrong...Obama sio mkenya...not anymore...anakuja tz cause kuna opportunities.. Kama Kenya hamna kitu aende kufanya nin?...30bn$ worth of investment in tz gas is not a joke....kama umepitia Harvard business review this month u'll definitely smell what am cooking..earlier this month boss wa general electric alikua bongo..u knw why?..because in the next 3 years they expect more turbines in Africa than in Europe....Kenya hawana resources compared to us and if they have sio wajinga kama tz kuachia kirahc rahc...the Tanzania investment act n policy are so full of shit
 
Ninadhani ni sahihi kabisa kwa hawa jamaa kuanzisha mishemishe zao za kusaka ma hela,kwani SISI WATANZANIA tunawaletea kauzibe sana...
Watanzania AS WHOLE tuko too inquisitive,too precatious,too spared,too warryful,too non risk takers,na KUBWA zaidi hatuko AGRESSIVE katika kujifunza ni faida gani tunaweza tupate "OUT" of the EAC....ndio maana SISI WATANZANIA hatutaki VIONGOZI WETU wawe POSITIVE kuhusu Muungano wa EAC.....Sasa tunataka hawea majirani zetu watubembelezeje?

Nimekwenda Uganda mwaka jana...pia nilikuwa Kenya

Ukiwasikiliza Waganda,wao wanasema kwamba "The EAC Active phase lags behind bse of the "cold war" btn Kenya anda Tanzania
Ukiwasikiliza Wakenya,wao wanasema "The EAC Active phase lags behind bse of Tanzanians being "too negative" about Kenyans....
Ukiwasikiliza Wanyarwanda,Waburundi wao wanasema "In Tanzania there are lot of "missed opportunities" where one can make a lot of money!

Nani Mtanzania hapa mawazoni mwake "anawachukulia" poa Wakenya?
Makelele yetu wenyewe ndio yanayofanya hawa jamaa waone sie "tunawachelewesha"....

All in all...hili ndilo tulilolitaka....Watanzania tumejawa na Roho ya Chuki now a days....Roho ya wivu.....Roho ya kulalamika....Roho ya sijui aina gani...

Hebu fikiria Obama anakuja Nchini,lakini karibu asilimia kubwa ya Watanzania "wamejawa" na matamko,maongezi na kauli za "WIVU,ULALAMISHI,na CHUKI"......Hivi mnadhani siku ile Balzi wa Marekani alipojibu kwamba "Marekani ina resources nyingi sana na si kwamba wanakuja huku kwa ajili ya Natural resources zenu" alitoa hilo jibu ghafla?ni kwamba hilo jibu tayari alikuwa nalo hata kabla,tokana na kusoma "malalamishi" yenu toka sources mbalimbali....

Hata hawa jamaa KKK wamekuwa wakijua "misimamo" ya Watanzania,ndio maana wanaona "wawaache" na ma "wivu" yenu.....Halafu mnaanza kujifanya hamuelewi sababu ni kwa nini wanaweza "kuwatupa" kule!...

Na bado.....kama hatutabadilika,watatuacha.....na kile mnachokitafuta wengi wenu mtakipata

acha kutoka povu wewe globalist,wanasiasa ni kama ndizi(huenda nawe mmoja wao),wote wana rangi moja na wote wamepinda.kabla hujawatetea ujue hili,"what they say is not what they mean,but what they mean is what they do".niambie ni nchi gani rafiki wa marekani in third world countries iliyofaidika na urafiki huo na unipe na ushahidi?!niambie ktk marais hao watatu uliowataja ni yupi kiongozi bora mwenye mafanikio ya kukutikisa wewe hata ujikombe kwake?mental slavery ni mbaya sana.inakufanya uwe mtumwa mzuri,yaani mtumwa asiyejitambua kuwa ni mtumwa!kajifunze maandamano ya Brazil uone wenzenu wanavyoyapa mambo tafsiri sahihi na hawadanganywi.ungekuwa wewe ungekuwa unashangilia ujio wa world cup saa hizi!
 
1,2 sina hakika na hizo ila kweli hizo tatu za mwisho zinaweza kuwa common interests kwa hawa jamaa. Swala la M23 linaweza kuwaunganisha pia hawa watu. But also this is not healthy for our country tungekuwa na inteligensia ya nchi (na sio ya CCM kama ilivyo sasa) hii ilikuwa ni assignment muhimu kwao. Wamejadili nini na lengo la kikao hicho hasa ilikuwa ni nini?
Nakubaliana na conclusion yako.

Kuhusu Tribalism na ICC, hivi vitu vinategemeana. Pastoral societies huwa naturally, especially in developing world , zina fight among each other or with peasant communities. Suala kubwa ni land grabbing nature of pastoral communities. Angalia sehemu zenye societies hizo utaona ugomvi umetawala.

Ukabila huwa unakuja, siyo kwa chuki bali kwa struggle to survive and accumulate wealth. Huwezi kukataa kikuyu/kalenjin vs. Luo.

Huwezi kukataa Acholi vs. Baganda/tutsi... and so forth.

Those three understand each other, more than they understand JK and vice-versa. Their readiness touse any means necessarry to supress the oppossing tribes (based on whatever reason), makes them ICC-prone.

Huwezi kukataa hutu/lingala vs. tutsi.
 
Back
Top Bottom