Wamesubiri tufanye maamuzi tukazembea. Wao wamo mbioni. Badala ya reli ya kati sasa tunachangamkia reli ya kupasua serengeti.Sijui kama mradi wetu wa reli na Rwanda utasalimika, maana moja ya maamuzi ni Rwanda kujiunga katika reli ya Kenya na Uganda!
Sijui kama mradi wetu wa reli na Rwanda utasalimika, maana moja ya maamuzi ni Rwanda kujiunga katika reli ya Kenya na Uganda!
Wadau hii imekaaje?
Marais wa Kenya, Uganda na Rwanda waanzisha umoja wao KKK wamtenga Kikwete.
Marais wa kenya, uganda na Rwanda wameunda umoja wao wanajiita KKK eti Kagame, Kaguta na Kenyata.
Huu mshikamano wa hawa jamaa si kuua kabisa jumuia ya Afrika Mashariki? Na kwa nini ije wakati huu ambapo Kikwete ana bifu na Kagame?
Mpaka mtangazaji wa BBC akawa anahoji kwa nini wamemtenga Kikwete lkn wao wamesisitiza umoja wao ni wa Kiuchumi tu.
Hana muda ................ Anafanya maandalizi ya kumpokea Mfalme toka Amerika!![/QUOT
Wadau hii imekaaje?
Marais wa Kenya, Uganda na Rwanda waanzisha umoja wao KKK wamtenga Kikwete.
Marais wa kenya, uganda na Rwanda wameunda umoja wao wanajiita KKK eti Kagame, Kaguta na Kenyata.
Huu mshikamano wa hawa jamaa si kuua kabisa jumuia ya Afrika Mashariki? Na kwa nini ije wakati huu ambapo Kikwete ana bifu na Kagame?
Mpaka mtangazaji wa BBC akawa anahoji kwa nini wamemtenga Kikwete lkn wao wamesisitiza umoja wao ni wa Kiuchumi tu.
Hana muda ................ Anafanya maandalizi ya kumpokea Mfalme toka Amerika!!
Hana muda ................ Anafanya maandalizi ya kumpokea Mfalme toka Amerika!![/QUOT
Rais utumbo sana huyu