Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,350
- 26,503
Sijui wamebadili masafu, au ndo wameingia mitini.
Kuna miziki tu1
Kuna nini mbona BBC 103.3Mhz haiko hewani karibia siku nne sasa.
Tunaofuatilia matukio kimataifa tunakosa kitu fulani, na mimi nilikuwa nimelala mbele na Trump, sasa mpaka niingie mtandaoni.
Kunani BBC!
Kuna miziki tu1
Kuna nini mbona BBC 103.3Mhz haiko hewani karibia siku nne sasa.
Tunaofuatilia matukio kimataifa tunakosa kitu fulani, na mimi nilikuwa nimelala mbele na Trump, sasa mpaka niingie mtandaoni.
Kunani BBC!