Bayern Munich vs Chelsea - August 30, 2013 (UEFA Super Cup)

Bayern Munich vs Chelsea - August 30, 2013 (UEFA Super Cup)

Uefa hewan sio? Nilipo ni kifungon, sitoona hata mech moja till dec
 
Dakika ya 7 Chelsea wamejipatia bao kupitia kwa Torres. Mpira ni dk ya 13 sasa
mhhh kweli leo majanga sana mpaka kadi nyekundu naye kafunga gori basi leo sio mchezo
 
Chelsea wanakosa goli la wazi kabisa hapa.!!!
 
Wakuu latest score ikoje? Wengne tuko mbali na kininga?
 
Bayern 1 Chelsea 1,dakika ya 78
 
Chelsea have 15 to go to claim the first trophy

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Mourinho kabaki basi zima nyuma
Bayern wakisawazisha tu imekula kwao chelsea
 
Duuuuuh! Last minute ya extra tym watu wanachomoaa
 
Buyern wanasawazisha na mpira umekwisha
Wanakwenda kwenye matatuta
 
Wajeruman washinde uwanjani ila sio kwa matuta
 
Back
Top Bottom