kama kawa kama dawa leo tunawaua tena kama tulivyofanya last uefa final chini ya mateo mida ya saa 3.45 .jose m. amedai hakuna sababu ya kuleta wasiwasi ni kichapo tu.usikae mbali na tv kuhakikisha mauaji.sisi ndio sisi wengine mafisi.
FT:
Bayern 2 - 2 Chelsea
Bayern wins by 5 Penalties over Chelsea's 4. Lukaku misses the last penalty.
FT:
Bayern 2 - 2 Chelsea
Bayern wins by 5 Penalties over Chelsea's 4. Lukaku misses the last penalty.