Bayern Munich vs Chelsea - August 30, 2013 (UEFA Super Cup)

Bayern Munich vs Chelsea - August 30, 2013 (UEFA Super Cup)

Huyu dogo lukaku kawaangusha wenzie ndo penati gani sas! hyo..
 
Final penalty score bayern 5 chelsea 4 (lukaku kamiangusha chelsea)
 
Chelsea wamefungwa kwa penalty. ..bayern kapata zote, chelsea kakosa moja...lukaku kakosa
 
Mimi nafikiri David Luiz na Romelo Lukaku watakaa sana bench msimu huu.
 
da inasikitisha sana lakini yaani dakika ya 121 ndio wale jamaa wasawazisha kweli mpira unadunda
 
Oops, Lukaku. Oops, Chavs.
Hiyo ilikuwa penalty ya viwanja vya shule za msingi.

Cha kushangaza Lukaku anashangaa kwa nini hakufunga goli kwa penalty yake wakati analipwa maelfu ya pound kila week kuweka mpira golini.

He's Chavs striker!.
 
Oops, Lukaku. Oops, Chavs.
Hiyo ilikuwa penalty ya viwanja vya shule za msingi.

Cha kushangaza Lukaku anashangaa kwa nini hakufunga goli kwa penalty yake wakati analipwa maelfu ya pound kila week kuweka mpira golini.

He's Chavs striker!.

Mkuu ndio mpira huo ati
Ili mshindi apatikane ilikuwa ni lazima mmoja akose penati, zali likamuangukia Lukaku, au unadhani alifanya makusudi?
 
Simply Chelsea got what they deserved not what they wanted! Huu sio mpira kupaki basi ni ushamba ndo maana pep kamnyoa mourinho mechi kibao (mo kashinda mechi 3, pep 8) . Chelsea hawana mpira Zaidi ya kusubiri zali wapaki basi "sorry 4 u na kweli hamkustahili kushinda."
 
Mkuu ndio mpira huo ati
Ili mshindi apatikane ilikuwa ni lazima mmoja akose penati, zali likamuangukia Lukaku, au unadhani alifanya makusudi?
Mkuu, ni kweli unachokisema, huo ndiyo ulikuwa mwisho wa uwezo wake kwenye kufunga kwa njia ya penalty kick, lakini kwa sasa ni bora Lukaku kwenda kununua kabisa a designer seat belt for his bench role.
 
Simply Chelsea got what they deserved not what they wanted! Huu sio mpira kupaki basi ni ushamba ndo maana pep kamnyoa mourinho mechi kibao (mo kashinda mechi 3, pep 8) . Chelsea hawana mpira Zaidi ya kusubiri zali wapaki basi "sorry 4 u na kweli hamkustahili kushinda."
Ni kweli Chelsea hawakucheza mpira uliotakiwa kuchezwa na timu yenye wachezaji kama wao,nadhani ndio maana ManUtd walikuwa na umiliki wa mpira zaidi yao kwenye mechi iliyopita,kwa stahili hii sitegemei chelsea kama watapata nafasi mbili za juu kwenye Premier League



Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom