BAWACHA Mikoa mbalimbali watoa matamko sakata la Wabunge Viti Maalum

Freyzem

JF-Expert Member
Jun 29, 2013
10,052
24,442
Baada ya Wabunge wa Viti Maalum kuapishwa, wenyeviti wa BAWACHA kutoka maeneo mbalimbali wametoa matamko yanayoonyesha kutokubaliana na uteuzi huo, kwa kile walichodai utaratibu haukufuatwa, na kwamba kilichofanyika ni usaliti katika chama
IMG_2443.jpg

IMG_2442.jpg

IMG_2441.jpg

IMG_2440.jpg

IMG_2439.jpg

IMG_2438.jpg

IMG_2437.jpg

IMG_2436.jpg

IMG_2435.jpg
 
Baada ya wabunge wa viti maalumu kuapishwa, wenyeviti wa Bawacha kutoka maeneo mbalimbali wametoa matamko yanayoonyesha kutokubaliana na uteuzi huo, kwa kile walichodai utaratibu haukufuatwa, na kwamba kilichofanyika ni usaliti katika chama!
View attachment 1635403
View attachment 1635404
View attachment 1635405
View attachment 1635406
View attachment 1635407
View attachment 1635408
View attachment 1635409
View attachment 1635410
View attachment 1635411
Wanajisumbua tu, mwamba kasema ijumaa wakazungumze, na yeye atawalinda na kuwakumbatia!
 
Fukuza wasaliti wote hao kulinda nidhamu, heshima na taswira ya chama kwa umma.

Kuwaacha hao au kuwapa adhabu laini laini chama kitaonekana hakiwezi kusimamia misingi ya katiba yake na wananchi na wanachadema wataamini kuwa uongozi wa juu umekula njama kushirikiana na wasaliti, kitu ambacho kitapoteza imani ya wananchi kwa chama hiki, na itakuwa ni mwanzo wa chama hiki kudharaulika mbele ya umma kama CUF ya Lipumba!

Mwachama anayeweza kuiruka kamati kuu, huyo ipo siku ataendesha mapinduzi ndani ya chama.

Kwa kuwa wanataka ubunge, nyie fukuzeni wasaliti hao ili kuweka precedence na Ndugai atawalindia ubunge wao wa mfukoni wanaoutaka sana. Wao wabaki na ubunge wao, Chadema ibaki na wananchi, win-win au vipi?

Chadema ikumbuke kuwa tatizo la msingi siyo wao kuwa wabunge, Tatizo la msingi ni
1. Kula njama kufanya forgery, na kujichukulia mamlaka yasiyo yao kujipeleka na kuapishwa kinyume cha utaratibu wa chama na mamlaka zake, yaani kamati kuu na ofisi ya katibu mkuu

2. Kudharau mamlaka halali ya kamati kuu iliyogoma kuukubali uchafuzi ulioitwa uchaguzi, Hata Mwenyekiti wa Bawacha Mwenyewe Halima Mdee alionekana kwenye video akikiri kuona maboksi yenye kura feki, na nyingine kwa kushirikiana na wananchi alizikamata, na alihojiwa na polisi juu ya suala hilo, na pia alikiri kutokuwepo mawakala wa Chadema kwenye vituo vya kura baada ya mawakala hao kupigwa zengwe. Sasa kwa mtu mwenye ufahamu wa hili, mhanga mkuu wa hili ni ajaby sana kutaka kuvuna matunda ya haramu. Huyu anastahili adhabu kali zaidi kwa sababu anajua madhila ya uchaguzi feki lakini ameamua kubariki dhulma kwa ajili ya tamaa na ubinafsi uliokithiri. Huyu inapaswa afukuzwe uanachama ili iwe somo kwa wengine wanaopanga kusaliti!
 
Haya kina Halima kishawanukia hicho...jiandaeni kuwa wabunge wa Ndugai na si wa CDM..
 
Nina mashaka Chadema wakichukua maamuzi magumu dhidi ya hawa Wasaliti, watajikuta wamekuwa Imara Mara mia zaidi ya sasa.. Utashangaa wanaibuka wanasiasa bora hata kuliko hawa wasaliti.

Na wakiwahofia wasaliti wajiandae kupoteza zaidi imani ya wadau..
 
CHADEMA ni kubwa kuliko hao wasaliti, CHADEMA ndio iliwafikisha hapo, ili kulinda UHAI wa CHADEMA ni lazima wafukuzwe uanachama nje na hapo CHADEMA itapoteza uaminifu kwa WATANZANIA.

CHADEMA ilijisahau sana na kuipa BAWACHA madaraka makubwa.

No alternative lazima wafukuzwe acha wabaki kuwa wabunge wasio na Chama.

Nimemaliza.
 
Baada ya Wabunge wa Viti Maalum kuapishwa, wenyeviti wa BAWACHA kutoka maeneo mbalimbali wametoa matamko yanayoonyesha kutokubaliana na uteuzi huo, kwa kile walichodai utaratibu haukufuatwa, na kwamba kilichofanyika ni usaliti katika chama
View attachment 1635403
View attachment 1635404
View attachment 1635405
View attachment 1635406
View attachment 1635407
View attachment 1635408
View attachment 1635409
View attachment 1635410
View attachment 1635411
CHADEMA bado imara kabisa. Amen
 
Upendo ndio ngao yetu. Mungu ibariki Tanzania 😍😍😍
 
Back
Top Bottom