BAVICHA yakamata Nchi

Posho aisee, wanasubiri mgao mwingine kutoka bungeni wa posho maana waliunga mkono kwa asilimia 100 nyongeza ya posho teh teh UKAWA kwa posho ni sheedah

..sasa tunawakumbusha kwamba wakichapa kazi zaidi, UKAWA itapata wabunge wengi, na posho zitakuwa kubwa zaidi.
 
nakuunga mkono nchi hii imekombolewa kwa jasho na damu , tunawaombea Mungu awapunguzie adhabu makamanda wote waliopoteza maisha kwenye uwanja wa mapambano ya ukombozi AMINA .

Usiniunge mkono mimi mkuu, Waunge hao vijana waliopiga cha ARUSHA wakafikiri wako juu ya sheria!
 
Last edited by a moderator:


CCM na ma-green guard yao wamepoteana muda mrefuu....wanasubiria kuanza ufidhuli jinsi ya kuhujumu kuelekea Oktoba pamoja mamluki wa kuiba kura maana kwa siasa za kawaida za kuwapata wananchi walishashindwa zamani....! burian! CCM, walikupenda zamani, ila sasa umechukiwa zaidi...kwa heri!
 
Ukimaliza hilo WE KIBARAKA CHadema kwanza waulize kwa nini hawataki kujenga ofisi za makao makuu ya Chama?
 
Hakuna kulala wala kusinzia....pia na vijana wa bavicha kusin,sasa hivi ni mwendo wa vijiji kwa vijiji
hawa vijana nimewavulia kofia aisee ! pamoja na mito kujaa mamba lakini wanasonga tu !
 

Attachments

  • attachment-2.jpeg
    4.4 KB · Views: 166

Kwa kweli kwa sasa wamegawanyika kimakambi ya Urais..Kila mtu ana mgombea wake na kazi ni kutukanana matusi tu.
 
Ukimaliza hilo WE KIBARAKA CHadema kwanza waulize kwa nini hawataki kujenga ofisi za makao makuu ya Chama?
Lengo kubwa la bavicha ni kukata minyororo ya utumwa na umasikini miongoni mwa jamii .
 

Attachments

  • attachment.jpeg
    8.7 KB · Views: 246
  • 10413289_443379535821384_8736472890136950428_n.jpeg
    7.8 KB · Views: 229
  • attachment-11.jpeg
    6.6 KB · Views: 234
  • attachment-4.jpeg
    8.4 KB · Views: 243
  • attachment-13-2.jpg
    7.6 KB · Views: 209
Ukimaliza hilo WE KIBARAKA CHadema kwanza waulize kwa nini hawataki kujenga ofisi za makao makuu ya Chama?

Kwa sababu Katibu Mkuu wao [Chadema] au wanachama wao hawako ktk Biashara wa Meno ya Tembo, kuuza Unga na kuua Albino kama mlivyokubuhu ktk genge lenu la Kijani. Kuuza Kontena la Meno ya Tembo na Tani 30 za Unga si mnaweza kujenga hata Ofisi 5 za Makao makuu? Lumumba, Dodoma nk....? Chadema inajenga Ofisi mioyoni mwa Watanzania...na ndio ofisi imara kuliko zote! Tupo pamoja Kinje??
 

Kwa jibu hili kama atarudi tena basi atakuwa kalogwa na aliyemloga keshakufa.
 
Nchi hii itakuwa na bahati ya pekee kuwa na chombo hiki,na kupitia chadema uzalendo utajengwa kwani Bavicha na jeshi la wasomi,wafanyabiashara,wakulima na watu wa chini kabisa! Wameungana kujenga nchi.


Uvccm ilivyokufa,ni kutokana na chama kukikabidhi kundi lenye maslahi binafsi( mafisadi), UWT na zingine,hazitalingana na Chaso

Viva bavicha,chaso na bawacha,Mh. Mbowe anastahili sifa
 

Bavicha ndiyo tegemeo la vijana wa Taifa hili kwa sasa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…