BAVICHA yakamata Nchi

CHADEMA imekuwa jamani....Sasahivi majimboni CHADEMA haina shida ya watu....watu wanatosha....

Changamoto inayoikumba CHADEMA ni kwendana na ukuaji wa ghafla wa chama
 
CHADEMA imekuwa jamani....Sasahivi majimboni CHADEMA haina shida ya watu....watu wanatosha....

Changamoto inayoikumba CHADEMA ni kwendana na ukuaji wa ghafla wa chama

CDM haina wanachama ina wachumia tumbo!kivumbi utakiona Oktoba ndo utashangaa teh teh teh!
 
CHADEMA imekuwa jamani....Sasahivi majimboni CHADEMA haina shida ya watu....watu wanatosha....

Changamoto inayoikumba CHADEMA ni kwendana na ukuaji wa ghafla wa chama

Nikweli mkuu hata hivyo panapokuwa na mafanikio lazima changamoto ziwepo.
 





Asanteni Sana Bavicha kwa ziara zilizoweza kuwaelimisha wananchi wa Tanzania
 

Attachments

  • IMG-20150618-WA0043.jpg
    24.2 KB · Views: 411
  • IMG-20150618-WA0044.jpg
    37.1 KB · Views: 399
  • IMG-20150618-WA0051.jpg
    32.1 KB · Views: 397
  • IMG-20150618-WA0050.jpg
    36.1 KB · Views: 407
  • IMG-20150618-WA0053.jpg
    42.1 KB · Views: 412
Nimeipenda hii kauli mbiu
 
Sawa mkuu...wewe ni mchumia Kei au mchumia nini?

Endelea kutumika dogo!na matumaini yenu mnayopewa ya kwenda IKULU wakati wenzenu makao makuu CDM wanakula Ruzuku,mtaingia kwenda kunywa juice tu wakati wa dhifa ya kitaifa ya RAIS MPYA kutoka CCM au hilo hamlijui?
 
Endelea kutumika dogo!na matumaini yenu mnayopewa ya kwenda IKULU wakati wenzenu makao makuu CDM wanakula Ruzuku,mtaingia kwenda kunywa juice tu wakati wa dhifa ya kitaifa ya RAIS MPYA kutoka CCM au hilo hamlijui?
Ukishaona Nyuki wanachikia Ufisadi nakumtoa mbia mzee wa Upara aka Tembo Man basi jua mwisho wa ccm ni october
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…