ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,052
- 6,197
Serikali ya makaburu ilikuwa na maguvu mara elfu kuliko yetu. W ananchi wasio na silaha wakiwamo watoto wa shule ndio walorudisha democracy. Kuna wengi waliuwawa na kufungwa jela, matunda ndio hayo hata vijana watz wanakimbilia sauzi kutafuta maisha. Wangewasikiliza watu wa aina yako, wangekuwa bado wananyanyaswa na kubaguliwa kama wanyama.Waache waende ndipo watakapojifunza nidhamu ya democrasia kuwa kwenda kinyume cha seikali ni hasara